Chama cha chadema ni chama kinachokubalika sana mbele ya watanzania, nitashangaa kama kutakuwa na kijana wa leo ambaye atakuwa anakishabikia chama fulan hivi kinachotawala sasa hivi hapa tanzania.
Ninachoweza kusema, tukiombee kwa mungu kizidi kusimama na kiwe imara mpaka hapo kitakapochukua dola. Nasema kinaweza, chamsingi chama kijiadhali na mamluki wanaoweza kwa namna moja ama nyingine wakaingia kwenye chama na kuleta aina ya mtafaruku ambao unaweza kukiharibu chama chetu. Cha msingi tumuombe mungu, safari ambayo imeanza tuimalize salama..hakuna marefu yasiyo na ncha na nadhan chadema inakuja kuutimza msemo huu kwa kuchukua nchi.
Chadema mbele.....daimaaaaa
Ninachoweza kusema, tukiombee kwa mungu kizidi kusimama na kiwe imara mpaka hapo kitakapochukua dola. Nasema kinaweza, chamsingi chama kijiadhali na mamluki wanaoweza kwa namna moja ama nyingine wakaingia kwenye chama na kuleta aina ya mtafaruku ambao unaweza kukiharibu chama chetu. Cha msingi tumuombe mungu, safari ambayo imeanza tuimalize salama..hakuna marefu yasiyo na ncha na nadhan chadema inakuja kuutimza msemo huu kwa kuchukua nchi.
Chadema mbele.....daimaaaaa