Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Ndugu wana JF wote, wanaChadema na wasio wanaChadema wapenda maendeleo na wapenda mabadiliko. Nimeanzisha thread hii makusudi kabisa kuweza kupata mawazo yenu juu ya uendeshaji wa kampeni za Chadema zinazotarajia kuanza muda mfupi ujao. Na ni matumaini yangu kuwa chochote tutakacho changia hapa kitawafikia walengwa.
Kabla ya yote ningependa kutoa mfano mmoja: Kwanini Obama alifanikiwa katika kampeni zake hadi kupata ushindi wakati alikuwa hapewi nafasi kubwa ya kushinda. Nafikiri kila mtu atajibu ni kwa sababu alikuwa na timu ya kampeni nzuri.
Timu yake ilikuwa na vitengo vikuu vinane(8):
1. Inner circle 2. Early advisors 3. Foreign policy 4. Energy policy 5. Economic policy 6. Domestic policy 7. New Media na 8. Former members.
Ukiacha vitengo vingine kitengo cha Inner circle ambacho ndicho kilikuwa The leading Team(Engine) kilikuwa na members kama 12 na kila member alikuwa amepewa angalau kitengo kimoja kati ya vinane kukipa ushauri na wala si kukiongoza kwa sababu kila kitengo kilikuwa kinajitegemea na kiliwajibika kuripoti kwa Campaign manager David Plouffe.
Kitengo cha Inner circle kilikuwa na sehemu kuu zifuatazo;
1. Campaign Managing Office chini ya David Plouffe
2. Communications chini ya Robert Gibbs
3. Media strategy-David Exelrod
4. Operating office
5. Handled communications, research and policy
6. Pollster
7. Deputy Campaign Manager office
8. National Finance etc.
Nimejaribu kuonyesha jinsi Timu ya ushindi ya kampeni ya Obama ilivyokuwa. Si nia yangu kuongelea mambo ya Marekani na si lazima Chadema iige vitengo hivyo ambavyo vingine kwa Tanzania vinaweza visiwe vya lazima. Nia yangu hasa ni kuwa;
Tutoe mawazo kuisaidia Chadema iweze kuwa na kampeni ya ushindi. Ni kitu gani unachoona kitiliwe maanani kwenye kampeni. Strategies/techniques gani unazodhani zinaweza kuisaidia Chadema kabla wakati na baada ya uchaguzi kufanyika.
Mchango wangu:
Chadema iigawe nchi katika makundi yafuatayo
A. Kanda kuu 6 na kila kanda iwe na kampeni meneja wake aliye makini na asiingiliwe na mtu, awe huru kuamua kulingana na hali halisi ya sehemu yake. Kuwe na
1. Kanda ya Pwani(Dar na Zanzibar) 2. Kanda ya Kaskazini 3. Kanda ya Kati 4. Kanda ya Nyanda za juu 5. Kanda ya Ziwa 6. kanda ya Magharibi(Tabora, Kigoma).
B. Majimbo korofi/ Majimbo salama
C. Sehemu za vijijini ambazo hazijawahi kutembelewa na kiongozi yeyote au zimetembelewa mara chache toka tupate uhuru(kuna kura huko).
Naomba michango yenu, unaweza kukosoa kupinga lakini katika hali ya kujenga na si kubomoa. Tupingane ki mawazo na si kupigana, kwa sababu nyumba tunayojenga ni moja hakuna sababu ya kugombania fito. Tanzania ni yetu sote.
Go Slaa Go.
Kabla ya yote ningependa kutoa mfano mmoja: Kwanini Obama alifanikiwa katika kampeni zake hadi kupata ushindi wakati alikuwa hapewi nafasi kubwa ya kushinda. Nafikiri kila mtu atajibu ni kwa sababu alikuwa na timu ya kampeni nzuri.
Timu yake ilikuwa na vitengo vikuu vinane(8):
1. Inner circle 2. Early advisors 3. Foreign policy 4. Energy policy 5. Economic policy 6. Domestic policy 7. New Media na 8. Former members.
Ukiacha vitengo vingine kitengo cha Inner circle ambacho ndicho kilikuwa The leading Team(Engine) kilikuwa na members kama 12 na kila member alikuwa amepewa angalau kitengo kimoja kati ya vinane kukipa ushauri na wala si kukiongoza kwa sababu kila kitengo kilikuwa kinajitegemea na kiliwajibika kuripoti kwa Campaign manager David Plouffe.
Kitengo cha Inner circle kilikuwa na sehemu kuu zifuatazo;
1. Campaign Managing Office chini ya David Plouffe
2. Communications chini ya Robert Gibbs
3. Media strategy-David Exelrod
4. Operating office
5. Handled communications, research and policy
6. Pollster
7. Deputy Campaign Manager office
8. National Finance etc.
Nimejaribu kuonyesha jinsi Timu ya ushindi ya kampeni ya Obama ilivyokuwa. Si nia yangu kuongelea mambo ya Marekani na si lazima Chadema iige vitengo hivyo ambavyo vingine kwa Tanzania vinaweza visiwe vya lazima. Nia yangu hasa ni kuwa;
Tutoe mawazo kuisaidia Chadema iweze kuwa na kampeni ya ushindi. Ni kitu gani unachoona kitiliwe maanani kwenye kampeni. Strategies/techniques gani unazodhani zinaweza kuisaidia Chadema kabla wakati na baada ya uchaguzi kufanyika.
Mchango wangu:
Chadema iigawe nchi katika makundi yafuatayo
A. Kanda kuu 6 na kila kanda iwe na kampeni meneja wake aliye makini na asiingiliwe na mtu, awe huru kuamua kulingana na hali halisi ya sehemu yake. Kuwe na
1. Kanda ya Pwani(Dar na Zanzibar) 2. Kanda ya Kaskazini 3. Kanda ya Kati 4. Kanda ya Nyanda za juu 5. Kanda ya Ziwa 6. kanda ya Magharibi(Tabora, Kigoma).
B. Majimbo korofi/ Majimbo salama
C. Sehemu za vijijini ambazo hazijawahi kutembelewa na kiongozi yeyote au zimetembelewa mara chache toka tupate uhuru(kuna kura huko).
Naomba michango yenu, unaweza kukosoa kupinga lakini katika hali ya kujenga na si kubomoa. Tupingane ki mawazo na si kupigana, kwa sababu nyumba tunayojenga ni moja hakuna sababu ya kugombania fito. Tanzania ni yetu sote.
Go Slaa Go.