CHADEMA bila matusi itakuwaje?

CHADEMA bila matusi itakuwaje?

Nas Mapesa

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
5,286
Reaction score
5,423
nimekua nkijiulza Mara kwa mara kwann hiki chama wanachama wake,wapenz,mashabiki hupenda kutoa lugha za matusi je wanaamin nn kwenye matusi,je viongoz wao wapo hivi?kama jibu no kwann wasiwaeleweshe hawa wafuasi wenye ashk mitandaon?napata waswas na hawa viongoz pia.
 
Naona bila kutaja CHADEMA walau kwa nusu saa tu hapa jamvini hampati amani
 
Unaambiwa ukweli sasa wewe kwa kipimo cha busara zako uanana ni matusi
 
Unategemea nini kwa chama chenye viongozi kama lema, sugu, nasari etc. Ubongo ushachomoka fyuz ukiongeza na viroba na sigara kubwa ndo baasi
 
CDM bila matusi haiwezekani. Wafuasi wao wengi uwezo wao wa kufikiri ni mdogo hivyo wanakimbilia matusi badala ya kujenga hoja!
Lakini nadhani ni Culture ya Chama maana wakati wa Bunge la Katiba kuna kiongozi mmoja alimsema Mwl. Nyerere kwa maneno yasio na staha kabisa na siku sikia wakiomba msamaha!
 
Hawana uwezo wa kujenga hoja sasa wataongea nini zaidi ya matusi!
 
wakat mwingine unaweza hata usisome uzi hata siku3 kweny hili jukwaa mana jukwaa zima wahuni wamechafua sjui hawa watu ni wajamii gan
 
Tatizo vijana wengi wa CHADEMA wamelowea kwenye ulevi uliopindukia.
 
Ulitukana wapi? embu pitia post ya kina Asadsyria kuhusu mchungaji na josephine Mushumbushi the urudi hapa utuambie nani mtukanaji na hovyo! siku nyingine tumia kichwa kufikiri sio hicho kiungo ulichotumia kuleta post hii kilichopo chini kidogo ya mgongo ambapo kimsingi wewe unakitumia kama investiment kuburudisha wakware wasio na aibu
 
Chadema wanahasila na mali za Umma ambazo ccm na watoto wao wamefanya kuwa kodi za Watanzania ni zao makafili hao wafaidhina waizi wakubwa wa mali za watanzania.kuna vijana ccm wao hawana kazi wanadanganywa na malipo ya elfu 7 kisha wanajitoa ufahamu na kusahau kuwa hospital wakina mama wanakufa kila baada ya sekunde 6 lile lijamaa lao kila siku ulaya.kuanzia mkuu wa nchi hadi takataka za zao ni wadanganyifu.eti mkuu anawadanganya watu wake.

swissme
 
usikute aliyeandika uzi huu ni Lusinde
 
nimekua nkijiulza Mara kwa mara kwann hiki chama wanachama wake,wapenz,mashabiki hupenda kutoa lugha za matusi je wanaamin nn kwenye matusi,je viongoz wao wapo hivi?kama jibu no kwann wasiwaeleweshe hawa wafuasi wenye ashk mitandaon?napata waswas na hawa viongoz pia.

kamuulize livingstone lusinde au serukamba a.k.a mr faki yuuu au nkamia....bahati mbaya komba kafa lakini naye ungeweza kumuuliza?
 
Mtu kama Lema au Sugu bila kutukana ataongea nini cha zaidi
 
CDM bila matusi haiwezekani. Wafuasi wao wengi uwezo wao wa kufikiri ni mdogo hivyo wanakimbilia matusi badala ya kujenga hoja!
Lakini nadhani ni Culture ya Chama maana wakati wa Bunge la Katiba kuna kiongozi mmoja alimsema Mwl. Nyerere kwa maneno yasio na staha kabisa na siku sikia wakiomba msamaha!

inasikitisha sana kwan humu si kuna vijana wanajitapa na shule ni shule gan hiz
 
nimekua nkijiulza Mara kwa mara kwann hiki chama wanachama wake,wapenz,mashabiki hupenda kutoa lugha za matusi je wanaamin nn kwenye matusi,je viongoz wao wapo hivi?kama jibu no kwann wasiwaeleweshe hawa wafuasi wenye ashk mitandaon?napata waswas na hawa viongoz pia.
kuna matusi zaidi ya hii dhiki iliyosababishwa na ccm ?
 
Ulitukana wapi? embu pitia post ya kina Asadsyria kuhusu mchungaji na josephine Mushumbushi the urudi hapa utuambie nani mtukanaji na hovyo! siku nyingine tumia kichwa kufikiri sio hicho kiungo ulichotumia kuleta post hii kilichopo chini kidogo ya mgongo ambapo kimsingi wewe unakitumia kama investiment kuburudisha wakware wasio na aibu

yaleyale,anyway nimekuelewa dada
 
Back
Top Bottom