Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,423
- Thread starter
- #61
hata siku haijaisha tayari vijana wa chdma uzalendo uwewashinda kuvumilia kutusi kuna thread inashambuliwa kwa matusi hatar,hiz sheria zije tu
nimekua nkijiulza Mara kwa mara kwann hiki chama wanachama wake,wapenz,mashabiki hupenda kutoa lugha za matusi je wanaamin nn kwenye matusi,je viongoz wao wapo hivi?kama jibu no kwann wasiwaeleweshe hawa wafuasi wenye ashk mitandaon?napata waswas na hawa viongoz pia.
View attachment 241417ndo mnataka kushindana nae kwel hiki chama cha maigzo