CHADEMA bila matusi itakuwaje?

CHADEMA bila matusi itakuwaje?

nimekua nkijiulza Mara kwa mara kwann hiki chama wanachama wake,wapenz,mashabiki hupenda kutoa lugha za matusi je wanaamin nn kwenye matusi,je viongoz wao wapo hivi?kama jibu no kwann wasiwaeleweshe hawa wafuasi wenye ashk mitandaon?napata waswas na hawa viongoz pia.
Lusinde naye ni Chadema ?
 
Mtaji mkubwa wa chadema ni kutukana.Kama wakiandaa mkutano wa hadhara wasipotuka vyama vinavyowapinga na kutukana polisi, wateja wao huwa hawaridhiki! ndio maana sidhani kama wananchi wa kawaida yupo anayeijua sera na ilani ya chadema zaidi ya kusikia matusi na kuambiana fulani mwizi basi.


Matusi gani,ebu yataje hayo matusi tuyasikie..alafu pia rejea yule kichaa wenu lusinde kule arumeru..alikuwa anahubiri injili takatifu eti??? Ushabiki banaa..

Ni shidaa tu
.
 
nimekua nkijiulza Mara kwa mara kwann hiki chama wanachama wake,wapenz,mashabiki hupenda kutoa lugha za matusi je wanaamin nn kwenye matusi,je viongoz wao wapo hivi?kama jibu no kwann wasiwaeleweshe hawa wafuasi wenye ashk mitandaon?napata waswas na hawa viongoz pia.
Sikuwa najua Lusinde yupo CDM?
 
Hivi serukamba ni chama gani vile??????????

Bora anayetukana ila anawashibisha wanae, kuliko mwizi, mzandiki, mshirikina n.k
 
nimekua nkijiulza Mara kwa mara kwann hiki chama wanachama wake,wapenz,mashabiki hupenda kutoa lugha za matusi je wanaamin nn kwenye matusi,je viongoz wao wapo hivi?kama jibu no kwann wasiwaeleweshe hawa wafuasi wenye ashk mitandaon?napata waswas na hawa viongoz pia.

Wape wape vidonge vyao, wakitema au wakimeza ni shauri yako...! CDM sio chama.bali.ni NGO ya Mtei na Mkwe wake, eti nae muasisi wa chama analipwa kiinua mgongo kila mwezi mpaka atakapokufa!..
 
nimekua nkijiulza Mara kwa mara kwann hiki chama wanachama wake,wapenz,mashabiki hupenda kutoa lugha za matusi je wanaamin nn kwenye matusi,je viongoz wao wapo hivi?kama jibu no kwann wasiwaeleweshe hawa wafuasi wenye ashk mitandaon?napata waswas na hawa viongoz pia.
Sikuwa najua Lusinde yupo CDM?
 
Mitandaoni wafuasi wa vyama vyote wamo watukanaji, ukiingia upande wa viongozi kuna watu kama lusinde. Huyu ni mtukanaji mwandamizi, akifuatiwa na Peter Serukamba, juma nkamia, Mwigulu nchemba,..........
 
Chama kinaongozwa na watu waliotelekeza familia zao,mboe kazaa na mbunge viti maalumu na slaa ana kesi ya kunyang'anya mke wa mtu na kuzaa nae.sasa hawa wanafanya matusi kwa vitendo,washabiki wao ni kutukana na fujo.ndio maana mama kamili anaendelea na kesi mahakamani.
 
Matusi gani,ebu yataje hayo matusi tuyasikie..alafu pia rejea yule kichaa wenu lusinde kule arumeru..alikuwa anahubiri injili takatifu eti??? Ushabiki banaa..

Ni shidaa tu
.

Tusi halitumwi ww, kua na adabu.
 
Chama kinaongozwa na watu waliotelekeza familia zao,mboe kazaa na mbunge viti maalumu na slaa ana kesi ya kunyang'anya mke wa mtu na kuzaa nae.sasa hawa wanafanya matusi kwa vitendo,washabiki wao ni kutukana na fujo.ndio maana mama kamili anaendelea na kesi mahakamani.

yawezekana ikawa ni sababu
 
Mitandaoni wafuasi wa vyama vyote wamo watukanaji, ukiingia upande wa viongozi kuna watu kama lusinde. Huyu ni mtukanaji mwandamizi, akifuatiwa na Peter Serukamba, juma nkamia, Mwigulu nchemba,..........

mnasema hiki ni chama kilichoanza na MUNGU?ni yupi huyo anaekubali mitusi yenu?
 
Back
Top Bottom