Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
- Thread starter
- #21
Wewe sheikh ubwabwa unataka jipya kutoka arusha kwani umeskia arusha ni music band???? umaarufu sio wakati wake huu, since uchaguzi upite mpaka sasa Mbunge wa arusha mjini bila kushurikiana na halmashauri anasomesha watoto 417 wasiokuwa na uwezo, je mtu huyu ni wa kutafuta umaarufu tena???Arusha hamna tena Jipya....ndio maana imepita kimya kimya, Umaarufu wa Lema umekwisha! Inabidi aumize kichwa sana kutafuta njia ya kukubalika tena na jamii!
Turudi kwemye current issue ya CDM kwenda kujikomba kwa Rais wa Nchi! CDM imetia aibu!!!!