Kwatifuka na pikipiki nne acheni zenu nyie watu wanne ndio mnawaita waandamanaji wengi tena inawezekana mtu wa nne alikuwa kwenye foleni ya kawaida.wakuu sitawe kutuma picha wala video kwa leo ila nitafanya hivyo kesho kama ngereja ataniruhusu maana leo wakati jaribu ku-upload kwenye youtube ngereja akafanya kazi yake..maandamano yalihusisha pikipiki nne na gari moja la jamaa moja majengo ya juu kwajina ni mbuya huyu ni mtu wa bayo na katibu wakata ya kaloleni
Hahaha! sikujua hata huku jukwaa la siasa kuna vichekesho.Kwahiyo hao jamaa ni walinzi lol!Saa hizi ni usiku unataka ofisi ziachwe wazi acha wafunge watafungua asubuhi.
zamani watu (waafrika) walinunuliwa wakatumike physicaly, siku hizi wananunuliwa akili tu! hata hivyo tutafika safari yetu.wakati wakitoka kufunga ofisi zilizoko kwenye jengo la namvua plaza huku wakibandika mabango yenye maneo ya kuutaka uongozi wa chadema mkoa uachie ngazi na lingine likisomeka taizo la Arusha ni Mh lema bila kufafanua..baada ya hapo wafuasi wa upande wanaopinga walianza kumiminika kuona hivyo waasi hao walikimbia huku moja akiacha gari lake na dereva kuna watu walitaka kulichoma moto ndipo dereva alipo liondoa sehemu hiyo
Shangaa na wewe kuna mwingine kasema alikutana na watu wengi baadaye tumeambiwa walikuwa wanne hizi hela za Nape zitatumaliza wengi, infwakti hata ningekuwa mimi ningesema hivo hivo wengi.crashwise
Maandamano ? Au maandamano imepata maana mpya ?
Ukiongea na watu wengi wanapiga mwafaka huo na wanataka madiwani watimuliwe mfano leo baada ya sekeseke hili niliongea na watu waliofika hapo wakawa wanasema kama tamaa zimeonekana mapema kiasi hiki ni bora kuwafukuza kabiza kuliko kuendelea kufuga maradhiMkuu, kwani wananchi wengi katika jiji la Arusha wapo upande gani upande wa madiwani au upande wa chama?
Ninachotaka kujua mimi ni km maandamao hayo yalikuwa na kibali cha polisi.kama la! mbona polisi waiacha waandamane au kwa sababu wanaivuruga chadema.Wafuasi wa madiwani wanaounga mkono mwafaka wafunga ofisi ya CHADEMA ARUSHA...picha na video zinakuja
Sijaongelea point yoyote ya maandamano!Acha zako na wewe kwani UVCCM Arusha hawakuandamana na kutaka kuchoma moto jengo la CCM Mkoa kutaka kumtoa Mary kitanda.
Gutter politics.Sijaongelea point yoyote ya maandamano!
CDM ni vigeugeu!
Hawana msimamo!
Kila mtu anajiongelea anachojisikia!
Hata misikitini zipo.siasa haiepukiki hata makanisani siasa zipo..