NOT ENOUGH
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 596
- 307
Kwema makaka na madada, I was abit tight ndo maana nimepotea jamvini, bahati mbaya simu yangu ni ya buku 15 na sina laptop hivyo the only means that I can use to access internet ni kwenda kwenye cyber cafe.
OK - Nimesoma gazeti la Arusha times la wiki iliyopita na wiki hii and I have snatched that the Municipal council has approved Tshs48 billion budget in 2011/2012 fiscal year wakati madiwani wa Chadema wakiwa hawamo kikaoni. THIS IS NOT ACCEPTABLE na tunaomba mmalize matatizo ili tupate haki yetu.
SO BAD
OK - Nimesoma gazeti la Arusha times la wiki iliyopita na wiki hii and I have snatched that the Municipal council has approved Tshs48 billion budget in 2011/2012 fiscal year wakati madiwani wa Chadema wakiwa hawamo kikaoni. THIS IS NOT ACCEPTABLE na tunaomba mmalize matatizo ili tupate haki yetu.
SO BAD