Benson Mramba
JF-Expert Member
- Oct 29, 2013
- 644
- 1,482
Kwa miaka ya karibuni tangu baada ya uchaguzi Mkuu 2015 CHADEMA imekosa think tank . Wamebakia na siasa za matukio na uzushi wa mitandaoni.
Viongozi kutwa wako kwenye smart phone kusoma yanayojiri mtandaoni baada ya hapo wanajibu as if ndio agenda za Chama chao.
Shida wenye madaraka makubwa sasa ndani ya CHADEMA wana elimu ndogo, exposure ndogo na ni wavivu wa kusoma na kufanya tafiti. Lissu anawaita Group of Boys
Sio kila Tukio lazima liwe Agenda kwenu mtakuja kuumbuka siku sio nyingi. Lema amefunga safari Arusha hadi Dar kuja kuzungumzia MO kutekwa baada ya kusikia kuna Bilioni 1.
Msipokuwa agenda za maana mtadharaulika.
Viongozi kutwa wako kwenye smart phone kusoma yanayojiri mtandaoni baada ya hapo wanajibu as if ndio agenda za Chama chao.
Shida wenye madaraka makubwa sasa ndani ya CHADEMA wana elimu ndogo, exposure ndogo na ni wavivu wa kusoma na kufanya tafiti. Lissu anawaita Group of Boys
Sio kila Tukio lazima liwe Agenda kwenu mtakuja kuumbuka siku sio nyingi. Lema amefunga safari Arusha hadi Dar kuja kuzungumzia MO kutekwa baada ya kusikia kuna Bilioni 1.
Msipokuwa agenda za maana mtadharaulika.