CHADEMA acheni siasa za majitaka, Dk Mary Mwanjelwa hajazomewa

Mwamakula

JF-Expert Member
Nov 7, 2010
1,890
382
Kumezuka madai kwamba Mbunge wa viti maalum (ccm) mkoa wa Mbeya, Dk.Mary Mwanjelwa amezomewa na wananchi wakati wa ziara yake aliyoifanya Jijini Mbeya leo na kuzungumza na wananchi wa Mwanjelwa na Sido juu ya mchakato wa katiba. Mimi siyo kwamba nina maslahi yeyote kwa Dk. Mwanjelwa lakini jamani tuache uongo Chadema wamezusha uongo huo tu kutokana na siasa zao ambazo nazichukulia kama ni siasa za majitaka.

Chadema tuache wivu, mbunge huyu siyo kwamba namfagilia lakini ukweli ni kwamba ni mchapakazi mzuri na mkutano wake ulikuwa wa amani na mimi nilikuwepo na wananchi walimshukru sana kwa ahadi aliyotoa ya kwenda kuonana na Mkurugenzi wa Jiji ili tatizo la ubovu wa barabara liweze kupatiwa ufumbuzi. Katika mkutano wake wananchi walimuuliza maswali na yeye aliyajibu kwa umakini mkubwa.

Mwanadada huyu kiukweli anakubalika sana Mbeya, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni tungekuwa na wabunge watano wanawake kama huyu dada kichwa tungefika mbali anafanyakazi zake kwa vitendo na kwa umakini, anatekeleza ahadi zake kwa vitendo bila bulabula. Sijui ni watu gani wataongea uzushi kuhusu huyu dada huyu.
 
Kumezuka madai kwamba Mbunge wa viti maalum (ccm) mkoa wa Mbeya, Dk.Mary Mwanjelwa amezomewa na wananchi wakati wa ziara yake aliyoifanya Jijini Mbeya leo na kuzungumza na wananchi wa Mwanjelwa na Sido juu ya mchakato wa katiba. Mimi siyo kwamba nina maslahi yeyote kwa Dk. Mwanjelwa lakini jamani tuache uongo Chadema wamezusha uongo huo tu kutokana na siasa zao ambazo nazichukulia kama ni siasa za majitaka.

Chadema tuache wivu, mbunge huyu siyo kwamba namfagilia lakini ukweli ni kwamba ni mchapakazi mzuri na mkutano wake ulikuwa wa amani na mimi nilikuwepo na wananchi walimshukru sana kwa ahadi aliyotoa ya kwenda kuonana na Mkurugenzi wa Jiji ili tatizo la ubovu wa barabara liweze kupatiwa ufumbuzi. Katika mkutano wake wananchi walimuuliza maswali na yeye aliyajibu kwa umakini mkubwa.

Mwanadada huyu kiukweli anakubalika sana Mbeya, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni tungekuwa na wabunge watano wanawake kama huyu dada kichwa tungefika mbali anafanyakazi zake kwa vitendo na kwa umakini, anatekeleza ahadi zake kwa vitendo bila bulabula. Sijui ni watu gani wataongea uzushi kuhusu huyu dada huyu. angalieni blog ya mbeya yetu muone kilichojili ziara ya Dk.mwanjelwa
 
Ulikuwepo kwenye mkutano au umekurupuka tok usingizini na kuweka kuandika hii kitu?hivi ilikua ni leo au jana?kweli kazi ipo
 
Hiyo habari hiyo umeisoma wapi kuwa huyo mbunge amezomewa au na wewe unaleta majungu hapa?
 
huyu mama aliongea vizuri sana tena anajenga hoja za kimaendeleo bila kujali itikadi za vyama.tatizo la chadema ni chuki binafsi ndo mana unawaona washabiki wengi lakini kwenye uchaguzi wanapigwa.
 
Na mimi nimepata habari kutoka kwa jamaa yangu aliyeko Mwanjelwa.Kanithibitishia huyu mbunge kazomewa vibaya sana mpaka akatia huruma.
 
Huyu mwizi wa mataulo nikweli alizomewa na watu wa Mbeya hawaipendi CCM hata kidogo! Mbeya nchi rais Sugu.
 
Kumezuka madai kwamba Mbunge wa viti maalum (ccm) mkoa wa Mbeya, Dk.Mary Mwanjelwa amezomewa na wananchi wakati wa ziara yake aliyoifanya Jijini Mbeya leo na kuzungumza na wananchi wa Mwanjelwa na Sido juu ya mchakato wa katiba. Mimi siyo kwamba nina maslahi yeyote kwa Dk. Mwanjelwa lakini jamani tuache uongo Chadema wamezusha uongo huo tu kutokana na siasa zao ambazo nazichukulia kama ni siasa za majitaka.

Chadema tuache wivu, mbunge huyu siyo kwamba namfagilia lakini ukweli ni kwamba ni mchapakazi mzuri na mkutano wake ulikuwa wa amani na mimi nilikuwepo na wananchi walimshukru sana kwa ahadi aliyotoa ya kwenda kuonana na Mkurugenzi wa Jiji ili tatizo la ubovu wa barabara liweze kupatiwa ufumbuzi. Katika mkutano wake wananchi walimuuliza maswali na yeye aliyajibu kwa umakini mkubwa.

Mwanadada huyu kiukweli anakubalika sana Mbeya, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni tungekuwa na wabunge watano wanawake kama huyu dada kichwa tungefika mbali anafanyakazi zake kwa vitendo na kwa umakini, anatekeleza ahadi zake kwa vitendo bila bulabula. Sijui ni watu gani wataongea uzushi kuhusu huyu dada huyu. angalieni blog ya mbeya yetu muone kilichojili ziara ya Dk.mwanjelwa

Mkuu niliwai sikiya huyo mweshimiwa kuiba mapambo kwenye nyumba ya wageni vipi ni cdm walizusha?
 
huyu mama aliongea vizuri sana tena anajenga hoja za kimaendeleo bila kujali itikadi za vyama.tatizo la chadema ni chuki binafsi ndo mana unawaona washabiki wengi lakini kwenye uchaguzi wanapigwa.

hakuzomewa na chadema alizomewa na wananchi
 
Wewe mwandika post umekurupuka mimi nilikuwepo sido kuzomewa kazomewa tena wanachama wote wa ccm walionekana kuvalia nguo za kijani pote walipoonekana kupita na nguo za kijani walizomewa na uongo mwingine ni wakusema mery mwanjelwa ni mchapakazi kipi cha maana alichokifanya hapa jiji la mbeya kama sio uongo na unafiki.
 
nani katoahilo tamko la kuzomea ndani ya chadema?. je wasira na mkono walizomewa? Mia
 
Kumezuka madai kwamba Mbunge wa viti maalum (ccm) mkoa wa Mbeya, Dk.Mary Mwanjelwa amezomewa na wananchi wakati wa ziara yake aliyoifanya Jijini Mbeya leo na kuzungumza na wananchi wa Mwanjelwa na Sido juu ya mchakato wa katiba. Mimi siyo kwamba nina maslahi yeyote kwa Dk. Mwanjelwa lakini jamani tuache uongo Chadema wamezusha uongo huo tu kutokana na siasa zao ambazo nazichukulia kama ni siasa za majitaka.

Chadema tuache wivu, mbunge huyu siyo kwamba namfagilia lakini ukweli ni kwamba ni mchapakazi mzuri na mkutano wake ulikuwa wa amani na mimi nilikuwepo na wananchi walimshukru sana kwa ahadi aliyotoa ya kwenda kuonana na Mkurugenzi wa Jiji ili tatizo la ubovu wa barabara liweze kupatiwa ufumbuzi. Katika mkutano wake wananchi walimuuliza maswali na yeye aliyajibu kwa umakini mkubwa.

Mwanadada huyu kiukweli anakubalika sana Mbeya, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni tungekuwa na wabunge watano wanawake kama huyu dada kichwa tungefika mbali anafanyakazi zake kwa vitendo na kwa umakini, anatekeleza ahadi zake kwa vitendo bila bulabula. Sijui ni watu gani wataongea uzushi kuhusu huyu dada huyu.

tukuyu stars

mwamakula=====mwanjelwa====mwakipogosole=====mwakifulefule=====mwaipondele====mwakasakasaka ====mwampulule=====mwakigogonjela=====mwakikwemakwema=====mwa.......=====mwa===
 
Kumezuka madai kwamba Mbunge wa viti maalum (ccm) mkoa wa Mbeya, Dk.Mary Mwanjelwa amezomewa na wananchi wakati wa ziara yake aliyoifanya Jijini Mbeya leo na kuzungumza na wananchi wa Mwanjelwa na Sido juu ya mchakato wa katiba. Mimi siyo kwamba nina maslahi yeyote kwa Dk. Mwanjelwa lakini jamani tuache uongo Chadema wamezusha uongo huo tu kutokana na siasa zao ambazo nazichukulia kama ni siasa za majitaka.

Chadema tuache wivu, mbunge huyu siyo kwamba namfagilia lakini ukweli ni kwamba ni mchapakazi mzuri na mkutano wake ulikuwa wa amani na mimi nilikuwepo na wananchi walimshukru sana kwa ahadi aliyotoa ya kwenda kuonana na Mkurugenzi wa Jiji ili tatizo la ubovu wa barabara liweze kupatiwa ufumbuzi. Katika mkutano wake wananchi walimuuliza maswali na yeye aliyajibu kwa umakini mkubwa.

Mwanadada huyu kiukweli anakubalika sana Mbeya, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni tungekuwa na wabunge watano wanawake kama huyu dada kichwa tungefika mbali anafanyakazi zake kwa vitendo na kwa umakini, anatekeleza ahadi zake kwa vitendo bila bulabula. Sijui ni watu gani wataongea uzushi kuhusu huyu dada huyu.

HUyu dada huyu, huyu dada huyu!


Huyo dada angekuwa na akili asingemtumia mtu kama wewe kukanusha yaliyotokea kama ni kweli yametokea. Unatuambia hapa kuwa KUMEZUKA MADAI, unaweza kutuambia hayo madai yamezuka wapi?

Tazama ulivyo kilaza hapo kwenye RED unaonesha jinsi ulivyotumwa kiasi unataka kujifanya na wewe ni CDM ila tu umechoshwa na tabia fulani wakati mstari mmoja tu juu yake umeshasahau your true ID na unabadili kauli. CHADEMA WAMEZUSHA UONGO, mara wewe huyo huyo CDM TUACHE WIVU!

Ujinga wako mwingine ni kuwasingizia wananchi wa Mwanjelwa kuwa wana akili haba kama za kwako. Eti 'wananchi wakamshukuru sana kwa ahadi aliyotoa......ufumbuzi' Unataka kuniambia walimshukuru kwa kupiga magoti na kumsujudia kwa hii AHADI tu?! Ina maana watu wa Mwanjelwa hii ni ahadi yao ya kwanza kuisikia toka kwa viongozi wa CCM? Kwani wakati wa kampeni za urais, kuna kipande cha barabara ambacho hakikuahidiwa na Mh.Dokta kuwa kitageuka lami? Huyo dadaako unayemsifia na Mh.Dokta Safari za Nje ni nani mwenye uwezo hasa wa kuona ahadi za chama chenu zikitimia?

Mambo ya kujikomba na kuleta hisia peleka MMU
 
tukuyu stars

mwamakula=====mwanjelwa====mwakipogosole=====mwakifulefule=====mwaipondele====mwakasakasaka ====mwampulule=====mwakigogonjela=====mwakikwemakwema=====mwa.......=====mwa===

Mwakapulule, mwakitalu, mwakambimbi, mwakalundwa, mwakasege, mwakadingi, mwakatobe, mwamalundi, mwananyoko n.k wooote walikuwepo na walizomea. Mimi nimewashangaa sana, kwa nini waliishia kumzomea? Mbona wasimdunde mawe kama walivyovurumishaga majiwe kwenye msafara wa Vasco da Gama kipindi ile ya uchaguzi.

Salamu kwako mwakafunyule. Indungu syako
 
Back
Top Bottom