Kumezuka madai kwamba Mbunge wa viti maalum (ccm) mkoa wa Mbeya, Dk.Mary Mwanjelwa amezomewa na wananchi wakati wa ziara yake aliyoifanya Jijini Mbeya leo na kuzungumza na wananchi wa Mwanjelwa na Sido juu ya mchakato wa katiba. Mimi siyo kwamba nina maslahi yeyote kwa Dk. Mwanjelwa lakini jamani tuache uongo Chadema wamezusha uongo huo tu kutokana na siasa zao ambazo nazichukulia kama ni siasa za majitaka.
Chadema tuache wivu, mbunge huyu siyo kwamba namfagilia lakini ukweli ni kwamba ni mchapakazi mzuri na mkutano wake ulikuwa wa amani na mimi nilikuwepo na wananchi walimshukru sana kwa ahadi aliyotoa ya kwenda kuonana na Mkurugenzi wa Jiji ili tatizo la ubovu wa barabara liweze kupatiwa ufumbuzi. Katika mkutano wake wananchi walimuuliza maswali na yeye aliyajibu kwa umakini mkubwa.
Mwanadada huyu kiukweli anakubalika sana Mbeya, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni tungekuwa na wabunge watano wanawake kama huyu dada kichwa tungefika mbali anafanyakazi zake kwa vitendo na kwa umakini, anatekeleza ahadi zake kwa vitendo bila bulabula. Sijui ni watu gani wataongea uzushi kuhusu huyu dada huyu.
Chadema tuache wivu, mbunge huyu siyo kwamba namfagilia lakini ukweli ni kwamba ni mchapakazi mzuri na mkutano wake ulikuwa wa amani na mimi nilikuwepo na wananchi walimshukru sana kwa ahadi aliyotoa ya kwenda kuonana na Mkurugenzi wa Jiji ili tatizo la ubovu wa barabara liweze kupatiwa ufumbuzi. Katika mkutano wake wananchi walimuuliza maswali na yeye aliyajibu kwa umakini mkubwa.
Mwanadada huyu kiukweli anakubalika sana Mbeya, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni tungekuwa na wabunge watano wanawake kama huyu dada kichwa tungefika mbali anafanyakazi zake kwa vitendo na kwa umakini, anatekeleza ahadi zake kwa vitendo bila bulabula. Sijui ni watu gani wataongea uzushi kuhusu huyu dada huyu.