Alilazimishwa na lile nungayembe lake, mzee kakamtwa kisawa sawa chezea shuntama wewe?Pia
Aliye -change GIA angani ndiyo alisababisha DR. Slaa kuondoka.
Ukitaka kutafuta nyoka anzia mguuni mwako, ilitakiwa CHADEMA kuanza kuhoji kuhusu KATIBU WAO MKUU DR. SLAA kwanini alikimbia wakati wa uchanguzi? halafu ndiyo waende kwa jirani.
Ukitaka kutafuta nyoka anzia mguuni mwako, ilitakiwa CHADEMA kuanza kuhoji kuhusu KATIBU WAO MKUU DR. SLAA kwanini alikimbia wakati wa uchanguzi? halafu ndiyo waende kwa jirani.
Anapoita Chadema anazungumzia usanii wa kisiasa unaofanywa na CHADEMA zidi ya CUFYaani Lipumba aitaje Chadema, Chadema wakimtaja nongwa, kweli ninyi mmmmmmmm
Soma vizuri hakuna sehemu nilipo walinganisha hao viongozi wawili,Yaani unajaribu kumlinganisha Mzee Dr Slaa na Prof. Lipunba?
Dr Slaa ni mzee wa principle. Alisema anaondoka na akaondoka kweli na hajawaza kurudi ktk siasa tena tena kwa mtindo wa vurugu za kipuuzi na za kijinga kama Prof Lipumba afanyavyo!!
Nakushauri waache CHADEMA waendelee kumheshimu na kumuenzi katibu wao mkuu kwa heshima. Hana tatizo yule, aliondoka kwa hiari yake na aachwe amalizie uzee wake huko aliko kwa amani na furaha.
Kwa maoni yako wahoji kuhusu nini sasa kuhusu Dr Slas? Kwa sbb he's not and he will never come back!!
Lipumba hata sisi tusio na vyama tunahoji na tutahoji kwa sbb anaonekana ni kielelezo cha wasomi wajinga, wasio na misimamo ktk maisha yao. Wanaonekana kuwa walienda shule kusomea ujinga na si kuelemika!!
Wa hapa hapa, Mambo ya CUF wanawahusu nini? malizeni mambo yenu kwanza.Sasa umesikia Dr. Slaa anataka kurudi Chadema kwa njia ya panya? We wa wapi wewe?
Duuh!!! Kweli wewe BAVICHA original, yaani unamwita hivyo!!!!!!Alilazimishwa na lile nungayembe lake, mzee kakamtwa kisawa sawa chezea shuntama wewe?
viroba kupigwa marufukuChadema haina muda mchafu kumzungumzia huyo zwazwa, yeye ndiye alianza kutoa tuhuma nyingi dhidi ya Chadema na alijibiwa Mara moja tu, yeye ndiye kila siku neno Chadema, Mbowe na Lowasa halikauki mdomoni kwake. Sisi tunampotezea tu kwani ukijibishana na chizi utaonekana chizi.
Na wewe unawasemea chadema kama nani, na wanamsema Lipumba wakiwa kama nani?na wewe unawakanya chadema kama nani? na kuisemea cuf kama nani?
Soma vizuri hakuna sehemu nilipo walinganisha hao viongozi wawili,
leo ndiyo mnagundua kwamba yule mzee wa principle, wakati kipindi anaondoka CHADEMA hakuna jina, neno au kauli mbaya yenye kuhudhi mliacha kumwita DR. SLAA.
ccm wanaipenda chadema kuliko labda tulioko chadema ....ujue tulioko huku tuna ukakamavu sana ...hivyo upelekea jamaa kuipenda chedema bila kupendaWewe Ditopile pili yaelekea waipenda chadema sana maana umeitaja sana
Kwi! kwi! kwi! Sababu ni Matapeli wa kisiasaccm wanaipenda chadema kuliko labda tulioko chadema ....ujue tulioko huku tuna ukakamavu sana ...hivyo upelekea jamaa kuipenda chedema bila kupenda
Nyie ni wauaji kabsa ...mna tapeli hadi rambi rambi za wahanga wa bukoba ?? Nyie ni zaidi ya shetwaniKwi! kwi! kwi! Sababu ni Matapeli wa kisiasa
Kuna mtu kapanda dau anataka kununua CHADEMA, fanya upige dili mtu wangu@@@ wazeeee wa ANKRANyie ni wauaji kabsa ...mna tapeli hadi rambi rambi za wahanga wa bukoba ?? Nyie ni zaidi ya shetwani
Umeona hilo tu,au na ww ndo kibaraka wa lumumba...[emoji2][emoji2][emoji2]Mwana- Demokrasia,
WEWE NDIYO MPIGA POROJO WA CHADEMA?Umeona hilo tu,au na ww ndo kibaraka wa lumumba...[emoji2][emoji2][emoji2]