Mzee Wa Sumu
JF-Expert Member
- Apr 17, 2013
- 643
- 68
Nchi haifanyiwi majalibio mnaongoza halmashauri mbona hatuoni mabadiliko kisha tuwape nchi nyie oteni mngalimacho
Maccm yakiiba kura je?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Kwa sie wenye huduma bora za mawasiliano ujumbe wako tumeupata,je watu wa vijijini uliko mtaji mkubwa wa ccm unawasaidiaje kuwafikishia ujumbe huu?
Lakini jaman kama uchaguzi ukifanyika leo Chadema itapata majimbo mengi na si kuongoza nchi maana bado hawajafika chini kwenye ngazi ya vijij mfano me niko huku masasi mtwara yaan chadema hamna kabisa napata kaz sana kutafuta wanachama ila bado sana
Bado kabisa kiosheni chama chenu kwanza na sifa za fujo udini na ukabila ndio tutazungumza kushika madaraka TZ
Watanzania ni waangalifu sana linapokuja suala la uongozi wa nchi
Mfano jamii forum kwa kiasi kikubwa inajulikana ni kigoda cha Chadema na hutumika kuonesha sera za CDM
Lakini chombo hichi kwa matusi kwa waislamu uislamu na Mitume yao ni jambo la kawaida na mfumo mzima huwa unashambulia uislam kwa kutukana bila ya mada kufutwa au kupigwa ban kwa mtukanaji
Waislam wengi pia ni memba wa mtandao huu wanaona hali ilivo
Hivo huu ni uchafu unatakiwa kuoshwa
Japo Zito alilisemea suala la udini na kuonesha kwamba CUF walasingiziwa na sasa ni CDM lakin Zito huwa ni mchangiaji humu na hajawahi kuwakemea wana chadema kujipesha na chuki za kidini humui mtandaoni
Wala si kiongozi yoyote wa CDM amewahi kukemea tabia ya kuonesha chuki na matusi kwa vijana wa CDM ndani ya mtandao huu
Jee itawezekana kweli kuingia ikulu kutegemea kundi moja hapa tanzania? HAIWEZEKANI
Muda upo utumieni kujisafisha na kujenga imani na kuwashirikisha waislam nao kujiunga CDM wawezesheni washike nafasi isiwe waislam ni zito na familia yake tu na Arfi
Inahitajika nia safi na ari ya kujenga Taasisi ya kisiasa isiyo kuwa na ubaguzi hivo mujiuluze jee tunayo nia hio ?
Ushawishi wa CDM na CUF unafanana kwa sababu Inakua vigumu kwa wasomi wa kikristo kujiunga na CUF kwa hisia za kidini na pia inakua vigumu kwa wasomi wa kiislam kuingia CDM huu ndio ukweli na ndio hapa pa kujisafisha kuleta matumaini kinyume chake ni CCM tu ndio inayo faidika
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums