mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,234
- 959
Tarehe 28 July.
Chacha Wangwe, mwanamageuzi thabiti alipoteza maisha katika mazingira ya kutatanisha.
Alikufa baada ya kuhitilafiana na viongozi wa CHADEMA.
Leo tena, tarehe kama hiyo Lowassa anajiunga CHADEMA. Kila la heri Eddo ila ujue ulikoenda Pengine usirudi.....
Chacha Wangwe, mwanamageuzi thabiti alipoteza maisha katika mazingira ya kutatanisha.
Alikufa baada ya kuhitilafiana na viongozi wa CHADEMA.
Leo tena, tarehe kama hiyo Lowassa anajiunga CHADEMA. Kila la heri Eddo ila ujue ulikoenda Pengine usirudi.....