Chacha Wangwe alifariki tarehe kama hii

Chacha Wangwe alifariki tarehe kama hii

mpinga shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,234
Reaction score
959
Tarehe 28 July.
Chacha Wangwe, mwanamageuzi thabiti alipoteza maisha katika mazingira ya kutatanisha.
Alikufa baada ya kuhitilafiana na viongozi wa CHADEMA.
Leo tena, tarehe kama hiyo Lowassa anajiunga CHADEMA. Kila la heri Eddo ila ujue ulikoenda Pengine usirudi.....
 
Tarehe 28 July.
Chacha Wangwe, mwanamageuzi thabiti alipoteza maisha katika mazingira ya kutatanisha.
Alikufa baada ya kuhitilafiana na viongozi wa CHADEMA.
Leo tena, tarehe kama hiyo Lowassa anajiunga chadema. Kila la heri Eddo ila ujue ulikoenda Pengine usirudi.....

Huna lolote tulia unyolewe
 
Ukiambiwa utoe ushahidi utatoa? Maana umesema kauawa ukiambiwa usaidie polisi je utakubali ? Vitu vingine msikutupuke
 
Ukiambiwa utoe ushahidi utatoa? Maana umesema kauawa ukiambiwa usaidie polisi je utakubali ? Vitu vingine msikutupuke

vitu vingine msikutupuke....ahahahaaa
 
Mbona mmekosa uelekeo,Wangwe unamkubukia nini?ukiona mtu anakumbuka wafu ujue anakaribia kufa.
 
Tangu Lin CCM na makada zake wakakitakia mema CCM nyie mmeuwa wa ngapi?
 
Tangu Lin CCM na makada zake wakakitakia mema CCM nyie mmeuwa wa ngapi?

Duuh! ila kweli siasa mchezo mchafu... jamaa alichambishwa hadharani na hao jamaa eti leo wamemuona dili...mimi naona hao jamaa wanatafuta wafuasi kutoka ccm watakao hama na lowasa, wanataka wamchune hizo pesa zake anazolingia na kuongea... haiwezekan ktk hali ya kawaida umuite mtu fisad halafu uje umkumbatie kuna siri gani hapo... ila hapa ndiyo mjini; ngoja tuone, picha bado linaload... fisad papa atammeza slaa? au naye slaa atahama chama.... kweli ikulu tamu.
 
Duuh! ila kweli siasa mchezo mchafu... jamaa alichambishwa hadharani na hao jamaa eti leo wamemuona dili...mimi naona hao jamaa wanatafuta wafuasi kutoka ccm watakao hama na lowasa, wanataka wamchune hizo pesa zake anazolingia na kuongea... haiwezekan ktk hali ya kawaida umuite mtu fisad halafu uje umkumbatie kuna siri gani hapo... ila hapa ndiyo mjini; ngoja tuone, picha bado linaload... fisad papa atammeza slaa? au naye slaa atahama chama.... kweli ikulu tamu.

Aya kalale sasa, usisahau kunawa miguu
 
Ukiambiwa utoe ushahidi utatoa? Maana umesema kauawa ukiambiwa usaidie polisi je utakubali ? Vitu vingine msikutupuke

Kwani nani hajui, kuwa kauawa? Ila wanaposema kauawa na Mbowe ndio wanaotakiwa kuthibisha!!
 
Duuh! ila kweli siasa mchezo mchafu... jamaa alichambishwa hadharani na hao jamaa eti leo wamemuona dili...mimi naona hao jamaa wanatafuta wafuasi kutoka ccm watakao hama na lowasa, wanataka wamchune hizo pesa zake anazolingia na kuongea... haiwezekan ktk hali ya kawaida umuite mtu fisad halafu uje umkumbatie kuna siri gani hapo... ila hapa ndiyo mjini; ngoja tuone, picha bado linaload... fisad papa atammeza slaa? au naye slaa atahama chama.... kweli ikulu tamu.

Ikulu tamu sana...wote wanalialia na kutulisha pumba zao waende ikulu kupumzika
 
Tarehe 28 July.
Chacha Wangwe, mwanamageuzi thabiti alipoteza maisha katika mazingira ya kutatanisha.
Alikufa baada ya kuhitilafiana na viongozi wa CHADEMA.
Leo tena, tarehe kama hiyo Lowassa anajiunga chadema. Kila la heri Eddo ila ujue ulikoenda Pengine usirudi.....

RIP mwangosi.
police%20officer%20firing%20explosive%20round%20into%20journalist%20daudi%20mwangosi%20(wavuticropped.jpg

tashwila-ya-kukatisha-tamaa-ya-mauaji-ya-mwandishi-wa-habari.jpg
 
Endapo Lowasa atashika wadhifa wa uraisi basi hawa wafuatao watafute kwa kuishi:

Vasco da gama wa msoga na mwanaye.
Paul makonda na kiherehere chacke.
Dr Harison Mwakyembe.
Nape nnauye,
Abdluhamna kinana na twiga
 
Back
Top Bottom