Mangi Muitori
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 653
- 422
Endapo Lowasa atashika wadhifa wa uraisi basi hawa wafuatao watafute kwa kuishi:
Vasco da gama wa msoga na mwanaye.
Paul makonda na kiherehere chacke.
Dr Harison Mwakyembe.
Nape nnauye,
Abdluhamna kinana na twiga
Mwakyembe Kyela wanamkataa wamemchoka kama pampers iliyotumika