Cha kuazima hakisitiri cha kununuliwa je ?

Cha kuazima hakisitiri cha kununuliwa je ?

uporoto01

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2008
Posts
4,698
Reaction score
1,429
Wazee wetu walisema cha kuazima hakistiri mwili na sasa imejulikana cha kununuliwa pia hakisitiri mwili na inaweza kukuletea fedheha au kushusha hadhi yako mbele ya jamii.
Tuache kupenda kupendeza saaana na uhaendisamu boy.

bandugu mna maoni gani kuhusu hii kashfa ya Suti ilyopachikwa jina la 'SUITGATE' hahaha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom