kanda ya ziwa wanatoa sengerema na pia kuna chuo kipya kinaanza mwaka huu matangazo yake yataanza mwezi ujayo yakitoka nitapost hapaPia mm nilitaka kuchukua Cert' in Clinical Assistant
kwa kanda ya ziwa wanatoa wapi?
Na je iko marketable?
Mnijuze namimi hapa!Habr jf?
Wakuu kuna hili swala linanitatiza. Nataka kuapply koz ya cert in medical laboratory ktk chuo kikuu cha ruaha (ruco) mnanishaur vp kuhusu koz hii?