Kijana ex-form4 2018 amepata UDOM (Dodoma) na UNIQUE (Dar) kwenda kusoma Certificate ya Communication and Information Technology. Kwa wajuvi, je kunatofauti yeyote kitaaluma kati ya vyuo hivi ambayo inakiweka chuo kimoja juu ya kingine? Kijana anatokea mkoani hivyo akienda Dar itabidi kuingia gharama zaidi upande wa hostel, usafiri etc. Tafadhali naomba ushauri.