Nipo Karagwe Tunakunywa Mlamba Togwa
Haa Haa Hapo Safi Sana Yaani Kama Ile BiaNipoTanangozi tunapiga ulanzi directly from vitindi. Mtogwaaaaaaaa.
Unaponunua kitu kuwa makini na jina halisi, Cares na Ceres ni juisi mbili tofauti.Mataifa saba ya africa yameiondoa joice ya cares sokoni na kuzuia kununuliwa kwa kuwa inakiwango kikubwa cha sumu ya patulin inayosababisha madhara ya kuhara na kutapika
Nchi za uganda,kenya ,DRC , Zambia,malawi ,Seychelles, mauritius zimelazimika kuondoa juice hii sokoni na kuzuia kuagiza
Japo nchi tajwa zimetumia mwavuli wa COMESA kugomea bidhaa hii inayotengenezwa africa kusini ni bora mamlaka za Tanzania kupiga marufuku kwakuwa inauzwa sana hapa nchini na tuko na juices nyingi tu bora za wazawa
USSRView attachment 1973664View attachment 1973665
Bidhaa za Tanzania huwa hazipimwi na siku zikipimwa utatangulia kaburini kwa hiari yako.Ndio watanzania wajifunze kupenda vya nyumbani mana watz wakishapata vielimu kdogo uanza kudharau vya nyumbani
Nipo zangu mvumi Dodoma napiga juice ya ubuyu safi kabisa+ pombe ya choya.Haa Haa Hapo Safi Sana Yaani Kama Ile Bia
Kibo Gold "Yaone Maisha Katika Mwanga Bora "
Choya Naijua Nzuri Halafu Inaongeza DamuNipo zangu mvumi Dodoma napiga juice ya ubuyu safi kabisa+ pombe ya choya.
Mad Max 2001 ,nilitaka kugongwa na matema beach ya dar mbeya kisa huo ulazi ni genuine kwelikweli ,uwe makiniNipoTanangozi tunapiga ulanzi directly from vitindi. Mtogwaaaaaaaa.