CEO Barbara amefeli na hatokuja kuinufaisha Simba SC

demigod

JF-Expert Member
Jan 2, 2015
8,250
15,116
Wanajamvu huyu mwanadada huwa sijawahi kabisa kumuelewa.

Tangu apate ile nafasi pale Simba SC naona kama amewarudisha sana nyuma wale Jamaa. Hakuna jambo amefanya ambalo mwanasimba anaweza kuona umuhimu wake.

Mwenzake Senzo ana mafanikio ambayo yanaonekana na kuelezeka.

Sasa huyu mwanadada kila atakacho gusa ni lazima kiishie kati.

Alikuja na mkakati wa Kikaragosi Cha Simba SC mwisho wa siku kikaragosi chenyewe hakionekani tangu wadau wadai kuwa kinawatisha watanzania.

Alikuja na mpango wa kuchangisha pesa za uwanja, ikafika hatua wakakusanya mil 60 tu ndani ya miezi 3. Na mkakati huo ukaishia hapo hapo.

Yeye alihusika pakubwa kwenye kuongoza jopo la kumpata kocha mpya. Akakurupuka wakaleta. Didier GOMES Da Rosa. Na sasa kawapoteza mazima na kasepa.

Leo Ameita waandishi wa habari waongozane naye kwenda Bunju ili wachukue tukuo zima ambapo Architect akichukua vipimo. Tena wakiwa wamevaa Reflectors na Helment kabisa.

Sasa unaanza kujiuliza huo ujenzi utaanza kwa kutegemea pesa ya kampeni ya NaniZAIDI? Yaani milioni 101 kweli ndio za kumfanya mtu aanze kutafuta mkandarasi?

Huyu Dada ana mengi sana ya kujifunza kutoka kwa CEO SENZO wa DAR ES SALAAM YOUNG AFRICANS.

Kama kuna jambo lolote ambalo amefanikiwa ndani ya miama yake 2 akiwa pale naomba mnitaarifu nimekaa pale nasoma Comments zenu!
 
Wanajamvu huyu mwanadada huwa sijawahi kabisa kumuelewa.

Tangu apate ile nafasi pale Simba SC naona kama amewarudisha sana nyuma wale Jamaa. Hakuna jambo amefanya ambalo mwanasimba anaweza kuona umuhimu wake.

Mwenzake Senzo ana mafanikio ambayo yanaonekana na kuelezeka.

Sasa huyu mwanadada kila atakacho gusa ni lazima kiishie kati.

Alikuja na mkakati wa Kikaragosi Cha Simba SC mwisho wa siku kikaragosi chenyewe hakionekani tangu wadau wadai kuwa kinawatisha watanzania.

Alikuja na mpango wa kuchangisha pesa za uwanja, ikafika hatua wakakusanya mil 60 tu ndani ya miezi 3. Na mkakati huo ukaishia hapo hapo.

Yeye alihusika pakubwa kwenye kuongoza jopo la kumpata kocha mpya. Akakurupuka wakaleta. Didier GOMES Da Rosa. Na sasa kawapoteza mazima na kasepa.

Leo Ameita waandishi wa habari waongozane naye kwenda Bunju ili wachukue tukuo zima ambapo Architect akichukua vipimo. Tena wakiwa wamevaa Reflectors na Helment kabisa.

Sasa unaanza kujiuliza huo ujenzi utaanza kwa kutegemea pesa ya kampeni ya NaniZAIDI? Yaani milioni 101 kweli ndio za kumfanya mtu aanze kutafuta mkandarasi?

Huyu Dada ana mengi sana ya kujifunza kutoka kwa CEO SENZO wa DAR ES SALAAM YOUNG AFRICANS.

Kama kuna jambo lolote ambalo amefanikiwa ndani ya miama yake 2 akiwa pale naomba mnitaarifu nimekaa pale nasoma Comments zenu!
Amefanikiwa kuzuia timu isivae nembo ya GIIESEMU.
 
Eleza aliyofanya Senzo ya kujivunia. Au mnajivunia calendar?

Yako wazi sana mzee//

Ukiona unahitaji kuambiwa maganikio yake basi ujafikia Viwango vya kubishana kwa hoja na Beberu la KIHAYA.
 
Yako wazi sana mzee//

Ukiona unahitaji kuambiwa maganikio yake basi ujafikia Viwango vya kubishana kwa hoja na Beberu la KIHAYA.
Hoja ni kwamba unalinganisha watu wawili. Yule ambae unamuona hajafanikiwa umeeleza kutofanikiwa kwake lakini yule unaeamini amefanikiwa unasema iko wazi. Iko wazi kwa nani? Kwa nini kutofanikiwa kwa Barbara pia kusiwe wazi na husingeandika yote hayo?

NB: Beberu la KINYAKYUSA.
 
Hoja ni kwamba unalinganisha watu wawili. Yule ambae unamuona hajafanikiwa umeeleza kutofanikiwa kwake lakini yule unaeamini amefanikiwa unasema iko wazi. Iko wazi kwa nani? Kwa nini kutofanikiwa kwa Barbara pia kusiwe wazi na husingeandika yote hayo?

NB: Beberu la KINYAKYUSA.
Mnyakyusa mwenzangu usihangaike na huyo mhaya ,nipo huku kwao mwaka Saba huu so nawajua nje ndani ,ni watu fulani wapenda sifa kwenye hakuna.

Wanajiona kila kitu wanajua ,fika Bukoba mjini alafu kutana nae dar anavyotamba unaweza hisi kwao ni Kama Qatar kumbe uozo mtupu .

Senzo Ana mafanikio gani ambayo babra Hana anaanza kuruka ruka.
Ingekua nzur Sana Kama angeainisha mafanikio ya Senzo na babra hapo angeonekana anajielewa tofaut na hapo ni ule ule muendelezo wa sifa za kijinga km kawiada yao.
 
Wanajamvu huyu mwanadada huwa sijawahi kabisa kumuelewa.

Tangu apate ile nafasi pale Simba SC naona kama amewarudisha sana nyuma wale Jamaa. Hakuna jambo amefanya ambalo mwanasimba anaweza kuona umuhimu wake.

Mwenzake Senzo ana mafanikio ambayo yanaonekana na kuelezeka.

Sasa huyu mwanadada kila atakacho gusa ni lazima kiishie kati.

Alikuja na mkakati wa Kikaragosi Cha Simba SC mwisho wa siku kikaragosi chenyewe hakionekani tangu wadau wadai kuwa kinawatisha watanzania.

Alikuja na mpango wa kuchangisha pesa za uwanja, ikafika hatua wakakusanya mil 60 tu ndani ya miezi 3. Na mkakati huo ukaishia hapo hapo.

Yeye alihusika pakubwa kwenye kuongoza jopo la kumpata kocha mpya. Akakurupuka wakaleta. Didier GOMES Da Rosa. Na sasa kawapoteza mazima na kasepa.

Leo Ameita waandishi wa habari waongozane naye kwenda Bunju ili wachukue tukuo zima ambapo Architect akichukua vipimo. Tena wakiwa wamevaa Reflectors na Helment kabisa.

Sasa unaanza kujiuliza huo ujenzi utaanza kwa kutegemea pesa ya kampeni ya NaniZAIDI? Yaani milioni 101 kweli ndio za kumfanya mtu aanze kutafuta mkandarasi?

Huyu Dada ana mengi sana ya kujifunza kutoka kwa CEO SENZO wa DAR ES SALAAM YOUNG AFRICANS.

Kama kuna jambo lolote ambalo amefanikiwa ndani ya miama yake 2 akiwa pale naomba mnitaarifu nimekaa pale nasoma Comments zenu!
Huyo muimba rege (Senzo) kafanikiwa jambo gani pale matopeni!!!???
Barbara ndani ya uongozi wake tumeshuhudia Simba ikipiga hatua kubwa mno ndani na nje ya uwanja. Simba imechukua makombe ya ndani miaka kadhaa mfululizo na kufika hatua ya robo fainali (CAF) mara kadhaa pia, huyo Senzo wenu kafanikisha lipi!!????
Leo hii Simba inatajwa kama moja ya vilabu vikubwa (10) Afrika wakati huo Yanga hata Afrika mashariki tu sidhani kama ipo TopTen!!!!! Senzo ana mengi ya kujifunza kwa Barbara.
 
Watu wa Yanga walivyo vichaa wanaeleza kuwa babra hajafanikiwa kwa lolote huku wakisema Senzo kafanikiwa, wakiulizwa kafanikiwa kwa lipi wanasema "iko wazi"

Iko wazi kwa mama zenu huko, sisi hatujui tuelezeni.
 
Back
Top Bottom