central goverment manazitesa halmashauri

Jackbauer

JF-Expert Member
Oct 28, 2010
6,038
2,199
kumekuwa na tatizo kubwa la kutopeleka fedha kwa wakati kwenye halmashauri zetu.halmashauri zinatumia muda na pesa nyingi kupanga bajeti lakini fedha za bajeti zimekuwa zikicheleweshwa au kukatawa kabisa.baadaye tunalaumu halmashauri zimeshindwa kutumia fedha lakini ukweli ni kwamba fedha zilzopangwa kwa maendeleo hazifiki kwa wakati na mwisho wa siku halmashauri inatakiwa kuonyesha mchanganuo wa matumizi yake bila kujali imeletewa lini fedha hizo.huu ni unyanyasaji kwa halmashauri zetu,leteni fedha kwa wakati na kama ilivyo kwenye bajeti vinginevyo huu ni uonevu na ukiritimba usiokuwa na maana.
 
kumekuwa na tatizo kubwa la kutopeleka fedha kwa wakati kwenye halmashauri zetu.halmashauri zinatumia muda na pesa nyingi kupanga bajeti lakini fedha za bajeti zimekuwa zikicheleweshwa au kukatawa kabisa.baadaye tunalaumu halmashauri zimeshindwa kutumia fedha lakini ukweli ni kwamba fedha zilzopangwa kwa maendeleo hazifiki kwa wakati na mwisho wa siku halmashauri inatakiwa kuonyesha mchanganuo wa matumizi yake bila kujali imeletewa lini fedha hizo.huu ni unyanyasaji kwa halmashauri zetu,leteni fedha kwa wakati na kama ilivyo kwenye bajeti vinginevyo huu ni uonevu na ukiritimba usiokuwa na maana.

HAPO KWENYE RED

Unalosema ni sahihi, lakini ukumbuke kwa siku za karibuni ubadhirifu umekuwa mkubwa sana kwenye riports za CAG inaonesha audit querrries nyingi kila mwaka. Kwa sasa, sekta nyingi, hasa afya, kilimo na elimu zinapata sehemu kubwa (zaidi ya asilimia 80 ya bajeti ya maendeleo inatoka kwa wafadhiri). Sasa, kutokana na audit querries, LGAs hawapewi hela hasa wale wenye disclaimer, adverse and qualified audit opinions. Hii inaleta usumbufu mkubwa kwa LGAs, lakini wanaoathirika zaidi ni wagonjwa, wanafunzi na wakulima. Kwa nini ninasema hivyo? Waajiriwa wa serikali wanaendelea kupata mishahara kama kawaida! Hata pale ambapo timu za kila Mh Mrema zinapendekeza wasimamishwe kazi au wakatwe mishahara, bado hii inabaki kuwa danadana wakati beneficiaries wanaendelea kuhangaika. Hali huwa mbaya sana kwa miradiambayo inapaswa kupata michango toka kwa jamii (matching grants/contributions). Mfano ni halmashauri 38 kati ya 132 zillizoko Tz bara kwa mwaka huu wa fedha ndo zimepokea hela za miradi ya kilimo. KISA? Ripoti ya CAG inaonesha matumizi mabaya na maswali mengi ambayo hadi yatakapojibiwa ndo watapokea hela.
SUALA hilo hapo juu linanipa swali juu ya uelewa wa madiwani kuwasimamia watendaji wa halmashauri. Mfano pia, halmashauri kama ya Bagamoyo bajeti yao imepungua zaidi kwa sekta ya kilimo kwa ajili ya audit querries kibao.....sasa sina hakika nini kifanyike, lakini ni vema kutoilaumu central govtn kwa makosa ya usimamizi mbovu wa hela ngazi ya wilya. Madiwa lazima waamuke, waache kuandiika taarifa nzuri za miradi wakati ukweli unaonesha performance is very poor.
Wote tusaidie kuhakikisha hela za kina Cameroon na wengine zinatumika vizuri kuleta maendeleo yaliyokusudiwa
 
HAPO KWENYE RED

Unalosema ni sahihi, lakini ukumbuke kwa siku za karibuni ubadhirifu umekuwa mkubwa sana kwenye riports za CAG inaonesha audit querrries nyingi kila mwaka. Kwa sasa, sekta nyingi, hasa afya, kilimo na elimu zinapata sehemu kubwa (zaidi ya asilimia 80 ya bajeti ya maendeleo inatoka kwa wafadhiri). Sasa, kutokana na audit querries, LGAs hawapewi hela hasa wale wenye disclaimer, adverse and qualified audit opinions. Hii inaleta usumbufu mkubwa kwa LGAs, lakini wanaoathirika zaidi ni wagonjwa, wanafunzi na wakulima. Kwa nini ninasema hivyo? Waajiriwa wa serikali wanaendelea kupata mishahara kama kawaida! Hata pale ambapo timu za kila Mh Mrema zinapendekeza wasimamishwe kazi au wakatwe mishahara, bado hii inabaki kuwa danadana wakati beneficiaries wanaendelea kuhangaika. Hali huwa mbaya sana kwa miradiambayo inapaswa kupata michango toka kwa jamii (matching grants/contributions). Mfano ni halmashauri 38 kati ya 132 zillizoko Tz bara kwa mwaka huu wa fedha ndo zimepokea hela za miradi ya kilimo. KISA? Ripoti ya CAG inaonesha matumizi mabaya na maswali mengi ambayo hadi yatakapojibiwa ndo watapokea hela.
SUALA hilo hapo juu linanipa swali juu ya uelewa wa madiwani kuwasimamia watendaji wa halmashauri. Mfano pia, halmashauri kama ya Bagamoyo bajeti yao imepungua zaidi kwa sekta ya kilimo kwa ajili ya audit querries kibao.....sasa sina hakika nini kifanyike, lakini ni vema kutoilaumu central govtn kwa makosa ya usimamizi mbovu wa hela ngazi ya wilya. Madiwa lazima waamuke, waache kuandiika taarifa nzuri za miradi wakati ukweli unaonesha performance is very poor.
Wote tusaidie kuhakikisha hela za kina Cameroon na wengine zinatumika vizuri kuleta maendeleo yaliyokusudiwa

Kidoooooooooooooooooooogo ntatofautiana na wewe. Ina maana gani eti unadai hupeleki hela then mwaka unapokaribia kwisha ndiyo unaamua kupeleka mihela yote kwa mkupuo, tena utakuta hela ya quarter tatu yote inarundikwa kwenye hiyo ya nne, na unaambiwa lazima hela yote itumike iishe ndani ya hiyo miezi mitatu. Unataka DT na DED wafanye nini? Lazima walambe tu maana mihela mingi hivyo, ukiirudisha wanakwambia lazima next budget tupunguze maana umeshindwa kutumia hela tulokupa.

Kwanza hao auditors wao wanachijali zaidi ni ulaji tu, kama halmashauri mkijipanga fresh na kuwapo chao mapema, huwa hawanaga kwere, wanakupa hati safi. We ukiona hlalmashauri imepewa hati chafu, ujue huyo DED amejifanya mkono wa birika, na lazima akome.

Wizara na halmashauri nyingi wanacheza na ma external auditors, kazi kwisha kabisa.
 
Back
Top Bottom