Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,998
- 103,386
Wawakilishi wa matumbo yao, kupitia tiketi ya Ndugai kwa maelekezo ya mwendakuzimu.
.....ni wawakilishi bwashee!
.....ni wawakilishi bwashee!
Mramba amefufuka!Mrisho Gambo hoyee, Arusha wamewakilisha vizuri
Wabunge wa Kilimanjaro, walikosa agenda ya Pamoja ya kumwambia Rais..kuna biashara zao la kahawa, pembejeo za kuliko kupanda, Parachichi, yaani uchumi kwa ujumla
Professor Mkenda Mbunge wa Rombo, amejikita zaidi kwenye uwaziri...Mbunge wa Rombo..haangalii kero za wanarombo.
Mbunge wa Rombo, amekumbatia matajiri kama Mramba.... Mashamba yaliyovunwa miti, matajiri wanagawana. Wajane na wamama , vijana wanandikishwa majina Kila mwaka, hawapewi hata Eka Moja
Matajiri wanahodhi hayo mashamba, Eka 5 mpaka 30. Hapo iangaliwe pia na Rushwa, PCCB IKO KIMYA
Professor Mkenda, hujui hayo mambo? Basi husikilizi kero za wajane Tarakea..tena sehemu uliyozaliwa
Dudumizi acheni kujitoa akili Kwa kulazimisha kugeuza uovu kuwa wema.Hizi sifa ni pigo kubwa kwa team pinzani ambayo inapenda kuona team serikali ikilaumiwa hata kwa yale mazuri inayofanya. Namshauri Tundu Lisu amuombe mama amkabizi ubalozi wa Belgium afanye kazi, ila kama anafikiria kurudi 2025 kupambana na mama basi atakosa hata kura ya mkewe.
Hizi sifa ni pigo kubwa kwa team pinzani ambayo inapenda kuona team serikali ikilaumiwa hata kwa yale mazuri inayofanya. Namshauri Tundu Lisu amuombe mama amkabizi ubalozi wa Belgium afanye kazi, ila kama anafikiria kurudi 2025 kupambana na mama basi atakosa hata kura ya mkewe.
Kumbe wakutengenezwa na CCM.Cecilia Pareso ametambulishwa kama mbunge wa viti maalumu Chadema!
Ila ujanjaujanja na ujambazi wa polccm kusalia mamlakaniCcm haitegemei kura kukaa madarakani.
Mbunge wa viti maalumu Chadema mh Cecilia Pareso kwa niaba ya chama chake amempongeza Rais Samia kwa kushiriki Royal tour yenye lengo la kuongeza Watalii.
Pareso amesema kwa sasa Tanzania hupata wastani wa watalii 1.5 milioni hivyo wanaamini loyak tour itaongeza takwimu.
Kadhalika Pareso amesema Karatu ndio mji pekee wenye hotel nyingi za kitalii takriban hotel 58 zenye hadhi ya kimataifa na ndipo watalii wengi kama siyo wote hulala kabla ya kwenda mbugani hivyo kwa niaba ya Chadema amemwomba Rais Samia aifanye Karatu kuwa Mji Maalumu wa Utalii.
Chanzo: ITV
Huyo hata sii wa kuaminika dish kuyumba na kuwa chenga nje nje.Jana dish lilikuwa timamu leo limeyumba tena 😁😁
Hahahaaaa....... Hamumtaki Pareso?!Huyo hata sii wa kuaminika dish kuyumba na kuwa chenga nje nje.
Mbunge wa viti maalumu Chadema mh Cecilia Pareso kwa niaba ya chama chake amempongeza Rais Samia kwa kushiriki Royal tour yenye lengo la kuongeza Watalii.
Pareso amesema kwa sasa Tanzania hupata wastani wa watalii 1.5 milioni hivyo wanaamini loyak tour itaongeza takwimu.
Kadhalika Pareso amesema Karatu ndio mji pekee wenye hotel nyingi za kitalii takriban hotel 58 zenye hadhi ya kimataifa na ndipo watalii wengi kama siyo wote hulala kabla ya kwenda mbugani hivyo kwa niaba ya Chadema amemwomba Rais Samia aifanye Karatu kuwa Mji Maalumu wa Utalii.
Chanzo: ITV
Kama umemuona, itakuwa hivyoMramba amefufuka!
Bado tuna safari ndefu ya kujua kusoma kiswahili, tumekuwa wajuaji mno kiasi kiswahili kinatupiga kombo.Kama umemuona, itakuwa hivyo
Ameongea kwa niaba yake mwenyewe na covid 19 wenzake...CDM HAINA MBUNGE VITI MAALUM...huyo ni mbunge wa NDUGAI
Wawakilishi wa matumbo yao, kupitia tiketi ya Ndugai kwa maelekezo ya mwendakuzimu.
Mbona unalazimisha tuwe na wabunge ambao hawapo? Si mlitaka chadema kife?? au hamtaki tena?Mbunge wa viti maalumu Chadema mh Cecilia Pareso kwa niaba ya chama chake amempongeza Rais Samia kwa kushiriki Royal tour yenye lengo la kuongeza Watalii.
Pareso amesema kwa sasa Tanzania hupata wastani wa watalii 1.5 milioni hivyo wanaamini loyak tour itaongeza takwimu.
Kadhalika Pareso amesema Karatu ndio mji pekee wenye hotel nyingi za kitalii takriban hotel 58 zenye hadhi ya kimataifa na ndipo watalii wengi kama siyo wote hulala kabla ya kwenda mbugani hivyo kwa niaba ya Chadema amemwomba Rais Samia aifanye Karatu kuwa Mji Maalumu wa Utalii.
Chanzo: ITV
Good , ushauri umechukuliwa,,mama sio mbaguzi kama yule Dhalimu lakini pia alitakiwa kuwasiliana na Waziri au kulizingumza hili kwenye ziara ya mama.Mbunge wa viti maalumu Chadema mh Cecilia Pareso kwa niaba ya chama chake amempongeza Rais Samia kwa kushiriki Royal tour yenye lengo la kuongeza Watalii.
Pareso amesema kwa sasa Tanzania hupata wastani wa watalii 1.5 milioni hivyo wanaamini loyak tour itaongeza takwimu.
Kadhalika Pareso amesema Karatu ndio mji pekee wenye hotel nyingi za kitalii takriban hotel 58 zenye hadhi ya kimataifa na ndipo watalii wengi kama siyo wote hulala kabla ya kwenda mbugani hivyo kwa niaba ya Chadema amemwomba Rais Samia aifanye Karatu kuwa Mji Maalumu wa Utalii.
Chanzo: ITV
Dogo una hasira sana...nataka nikupe kazi ya kufanya nipe CV yako