timu za Sudan msimu huu zimeshuka ubora zimetolewa round ya 1 na nyingine round 2 kwenye michuano ya CUF, mnyama atatamba kama unanyojua Simba ndo mwakilishi bora tz kwenye michuano ya kimataifa
Nadhani bcoz pombe wanadhamini michuano hii,so yeye hayuko tayari kutangaza pombe.
usajiri ukiwa mzuri simba bingwa apo hakuna timu ngumu
Tusker laga si huwa wanadhamini haya mashindano pia au?mkuu hivi kagame ndio kilevi gani hicho
Kombe la Tusker mwaka 2005 tulichukua nchini Kenya.labda mataifa ya tanganyika na zanzibar, zaidi ya apo hajawai gusa kombe nje ya nchi,.
Kombe la Tusker mwaka 2005 tulichukua nchini Kenya.