mmmh hilo kundi C!!!!!na mbona Sudan wameingiza timu nyingi namna hiyo, 4!!!!
Group A
EL Merriekh(Sudan), Simba(TZ), AL Mann(Somalia), APR(Rwanda)
Group B
AL Hilal(Sudan), Ahl Shandi(Sudan), Al Nasri(S.Sudan), Tasker(Kenya), Super Falcon(ZnZ)
Group C
[COLOR=#COLOR]Yanga(TZ),[/COLOR] Express(UG), VItalo(Burundi), AS Port(Djibouti)
Nadhani bcoz pombe wanadhamini michuano hii,so yeye hayuko tayari kutangaza pombe.Azam haimo? Kwani vigezo vyakushiriki michuano hii ni nini?
mkuu linaweza lisibaki huko ila wanayo nafasi kubwa sana ya kulibakiza,timu 4 zikicheza nyumbani ni zaidi ya jeshi la mbwa mwitu!Naikumbuka Al Ahly Shand, nadhani hii timu nikali zaidi ya Libolo. Kwa kifupi kombe litabaki Sudan.
Azam haimo? Kwani vigezo vyakushiriki michuano hii ni nini?
hawa walishinda 3 sudan vilivile walipigwa 3 tz na simba waliitoa simba kwa matuta mkuu
usajiri ukiwa mzuri simba bingwa apo hakuna timu ngumu
Al Ahly Shand Je, unawabeza huku ukijua fika yaliyomkuta Simba?
Hilo kombe naona namna timu yangu ya Yanga inavyoenda kulitema huko Sudan, na nadhani litabaki huko huko Khartoum.
nakubaliana na wewe (simba mkali kwa michuano ya nje) ila kwa Libolo tu ndio mambo huwaga hovyotimu za Sudan msimu huu zimeshuka ubora zimetolewa round ya 1 na nyingine round 2 kwenye michuano ya CUF, mnyama atatamba kama unanyojua Simba ndo mwakilishi bora tz kwenye michuano ya kimataifa
Mbona hakuna timu yoyote ya Ethiopia wala Eritrea?Group A
EL Merriekh(Sudan), Simba(TZ), AL Mann(Somalia), APR(Rwanda)
Group B
AL Hilal(Sudan), Ahl Shandi(Sudan), Al Nasri(S.Sudan), Tasker(Kenya), Super Falcon(ZnZ)
Group C
Yanga(TZ), Express(UG), VItalo(Burundi), AS Port(Djibouti)