CECAFA Kagame Cup 2014, Rwanda

Rugby Union

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2012
Posts
402
Reaction score
255


Fainali, kutoka Uwanja wa Amahoro
SUN 24. AUG

17:00​
Al-Merreikh

Al-Merreikh, mabingwa wa CECAFA Kagame Cup 2014


 
Leo ni Rayon Sport vs Azam

 

Yanga wanakosekana hapa
 
Dakika za mwanzoni tu Azzam FC mabingwa wa Tz Bara wapo uwanjani dhidi ya mabingwa wa Kagame Cup, Rayon Sports. Vijana wamelitembelea lango la wapinzani mapema. Mungu awafanikishe ili muendelee kuwafundisha soka wakongwe wa siasa la soka (Ndala) ambao wametimuliwa katika kombe hili kwa kuleta mizaha ya akina Akili utajiri waliowarithisha hata makocha wenye majina ya ajabu ie; Machisimo. Simba wasingefanya ujinga huu
 
Hawa wawakilishi wa TFF katika BONANZA LA MUSONYE wanafnya kazi ya kubutuabutua tu dk ya 45 bado bilabila. Mashabiki kiduchu,nadhani Musonye mwakani ataileta Tanzania.
 
we nadhani ni moja ya viongozi wa ile timu inayohonga mil150 ili tu kushinda ligi kuu ya mil70. Mapovu naona yanakutoka na mwaka huu utakonda sana,utahonga na utapigwa
 
we nadhani ni moja ya viongozi wa ile timu inayohonga mil150 ili tu kushinda ligi kuu ya mil70. Mapovu naona yanakutoka na mwaka huu utakonda sana,utahonga na utapigwa

Sour grapes if you ask me!
 
Simba walishika nafasi ya 4 hawawezi kufikiriwa hata kama Azam wangegoma
 
Simba walishika nafasi ya 4 hawawezi kufikiriwa hata kama Azam wangegoma
my friend, umeona walivyoboronga, hakuna mtz hata mmoja aliyefanya vizuri, yule muaivoricost tu ndio kajaribu sana, na kati ya watu ambao huwa sisapoti wawepo hata timu ya taifa stars ni mtu mmoja anaitwa joni boko, ni mrefu na ana umbo la mpira lakini hautumii mwili wake, na hana stamina, si mwanamichezo mzuri kwa kifupi.
 
Rayon Sports in wa 3 ligi kuu ya Rwanda.Bingwa wa TFF na MAREFA kaomba po!
Ndo maana Musonye alikuwa nawalilia JAJA na coutinho kumbe aliona mbali.
 
Hawa wawakilishi wa TFF katika BONANZA LA MUSONYE wanafnya kazi ya kubutuabutua tu dk ya 45 bado bilabila. Mashabiki kiduchu,nadhani Musonye mwakani ataileta Tanzania.

Huku asije kabisa, kuna watu wataunda Kamati iitwayo: 'Saidia Musonye afe mapema'. Inambidi asome majira, akijileta kizembe itakula kwake.
 
Hawa wawakilishi wa TFF katika BONANZA LA MUSONYE wanafnya kazi ya kubutuabutua tu dk ya 45 bado bilabila. Mashabiki kiduchu,nadhani Musonye mwakani ataileta Tanzania.

ni kweli mkuu bonanza la musonye ndilo hilo nasikia kuanzia sasa yanga hatashiriki tena bonanza hilo hata likifanyika hapa tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…