CDM yamhenyesha Pinda uingereza

haha ha uingereza uijue wewe?? usiniache hoi! mm siwezi kuijua moshi sana maana huwa naenda tu kikazi au kwa matembezi! ila uingereza huwezi kunificha kitu, naifahamu maana nimesoma elimu yangu yote humo!!wewe kama waja na kuondoka sisi twaishi humu!

Kweli ng'ombe hawawezi kuisha hata wachinjwe vipi, kufika Uingereza unaona hatari ushamba mwingine mzigo haya bana sijfika Uingereza umefika wewe hongera sana.
 
Acheni kubwabwaja wekeni picha. Seeing is believing

Na wewe unaokena kama mzembe fulani hivi wa kusoma posts.
Picha zimeshawekwa kwenye post namba 39 hapo juu bado unabwabwaja picha ziwekwe.
 
kwanza uingereza magaidi hawaruhusiwi!!

Acha ushamba wewe Visa ya UK simple tu siku hizi ukikamilisha Documents ndani ya wiki moja wanakupa unatisha watu humu, miafrica bana.
 
Ebu tupe taarifa yako kaenda kufanya nini, na kama amekwenda kwa shughuli binafsi gharama za safari yake kajigharamia au zimetoka serikalini na ameongozana na nani katika msafala wake maana isije ikawa wewe ndo una uhakika na ulichokiandika.
 
Na wewe unaokena kama mzembe fulani hivi wa kusoma posts.
Picha zimeshawekwa kwenye post namba 39 hapo juu bado unabwabwaja picha ziwekwe.
Asante, nilikuwa chaka
 
Ukweli husemwa:

Wewe ndiyo umekurupuka bila kuisoma post yake vizuri. Amesema, Waziri Mkuu hayuko UK kwa shughuli za kisiasa na wala hajafanya mkutano wa kisiasa.

Na wewe tena umekurupuka! Waziri Mkuu yuko Uk kwa shughuli za kisiasa na amefanya mkutano wa kisiasa na ndio maana amepata audience ya kuueleza aliyoyaeleza.
 

Sijui hata huko UK umefikaje? kama huwezi kuunganisha DOTS.

Kama unasubiri Pinda akwambia kwamba yuko UK kwa shughuli za kisiasa wakati anafahamu fika kwamba pesa iliyomleta huko UK ni kodi yetu Watanzania na sio michango ya wana CCM basi utasubiri sana!

Mara ngapi Pinda amefanya ziara nchini kwa kutumia kodi zetu na kuishia kutubia mikutano ya CCM?

Your are real an obtuse person if yo can't figure out that PLAIN TRUTH.
 
Unaweza kumuadabisha aliyekutuma? Si ni sawa na kungata mkono unaokulisha mkuu.
 
Na wewe tena umekurupuka! Waziri Mkuu yuko Uk kwa shughuli za kisiasa na amefanya mkutano wa kisiasa na ndio maana amepata audience ya kuueleza aliyoyaeleza.
 
Jamani hivi hao Watz waliopo Uingereza nao huwa wanapiga kura kipindi cha uchaguzi? Kwa nini nguvu hiyo tusiipeleke Tanga ama kule Dodoma ambapo hakuna Mbuge na hata diwani mmoja wa Chadema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…