Mungu kajalia uchaguzi umeisha tuna kata sikonge,lakini ukweli wa wazi viongozi wa mkoa wanasinzia mno,mifano2,ni ajabu
Mungu kajalia uchaguzi umeisha tuna kata sikonge,lakini ukweli wa wazi viongozi wa mkoa wanasinzia mno,mifano2,ni ajabu Bavicha haikuwa na msaada wowote ule kipindi hiki wala hawakuwahi kuonekana,pale sikonge viongozi ufanya kazi kama kuna
msitegemee miujiza iwaokoe,waliokwenda sikonge juzi wananielewa vizuri.. haya ndo yanayotukwamisha CDM.