rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
isije kuwa nguvu ya soda....
langu jicho, can cdm survive this wave?
wich wave
isije kuwa nguvu ya soda....
langu jicho, can cdm survive this wave?
Ni nguvu ya bangi hiyo, stimu zikishuka na wao watapoa tu. Hakuna cha CDM hapa,kelele zote hizi wakati wabunge 23. halafu mnasema tanzania tumeamka.
mwenyewe unadhihirisha nyinyi ni wa kuwapa T-shirt na ubwabwa tena mnawakosea adabu mara moja kwa miaka mitano wakati wenzenu wanaendea mikono mitupu na wakati mwingine wananchi wenyewe ndio wana wachangia, sijui posho unazosema zinatoka wapi wakati ziara hizi wabunge ndio wana changa?Mkiondoka wanawasahau, wanasubiri mwingine awaletee t-shirt na ubwabwa.
wanakusanya posho za safari hao.