nashukuru kwa taarifa,vipi ilikua nikitengo kipi ulichoomba?maana mm niliomba IT specialist kama unaweza kuwa nataarifa kidogo pia.Kuna mzungu mmoja alikua anapiga simu. Mie alinipigia baada ya siku 3 za deadline akaniuliz maswali kama nusu saa mwishoni akaniambia atatendelea kuwasiliana na mimi. Ila hajawasiliana na mimi. Ninafununu kuwa huenda wakaanza kazi rasmi kuanzia kweyne sept/oct
lulungeni,na ww uliomba zile za udom? Ulitupa taarifa nzur sana,Endelea kutujuza mwanaNilishajua wameita kumbe bado nashukuru sana kwa nyie evaluator na kimla kwani naona mmekuwa hamchoki kufuatiliya kwani mimi nilishajua ndio hivyo tena naomba atakayepata taarifa asisite kuweka hapa ok.
never ever give up,ingawa roho inadunda,mzumbe wameshanimwaga,mmh!??Komaeni kitaeleweka Watu Wangu.