PostGE2025 CDF Mkunda umeshusha heshima yako

PostGE2025 CDF Mkunda umeshusha heshima yako

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,530
CDF wa jeshi ni kitu kikubwa sana ila kwa kilichotokea Mo29 hata uwezo wako umefanya kuwa ni mgambo pro max.

Kwa mauaji yale na uchaguzi ambao hata kudanganya wakapitiliza kabisa na yote bado unawezaje kujisema ni CDF.

Mimi sio mtabiri ila naiona Tanzania kuwa Sudan ya baadae ambayo wewe CDF na viongozi wenu mtakuwa mpo nchi mlizowekwa kufanya haya.
 
CDF wa jeshi ni kitu kikikubwa sana ila kwa kilichotokea Mo29 hata uwezo wako umefanya kuwa ni mgambo pro max.
kwa mauwaji yale na uchaguzi ambao hata kudanganya wakapitiliza kabisa na yote bado unawezaje kujisema wa ni CDF.

Mimi sio mtabiri ila naiona tanzania kuwa sudani ya baadae ambayo wewe cdf na viongozi wenu mtakuwa mpo nchi mlizowekwa kufanya haya.

ingia hii link
Mauaji
Huyu CDF hata mgambo na sungusungu wamemzidi heshima, hakuna cha lumfananisha nae labda tumuite Gaidi
 
CDF Mkunda kalala kambini huku raia wanauawa tu ovyo halafu bado yeye ni CDF..
 
Nimesoma shule ya jeshi tulifundishwa sana uzalendo kwa miaka minne maana walim wetu walikua ni wanajeshi asilimia 90 . Nimekuja kushagaa sana kuona jeshi letu limejishushia heshima yake kwa asilimia kubwa sana nimeumia sana wale wazalendo walio kua jeshini wako wapi hata km imepita miaka 30 tangu nimalize shule... Wako wapi wanajeshi wetu walio kua wanatupa mafundisho ya kuipenda nchi yetu na mm nikaiva kweli kweli huniambii kibaya chochote kuhusu nchi yangu nikuache salam.Kama mm nilikua mwanafunzi tu je hao wanajeshi wenyewe sasa uzalendo huo umeenda wapi mpaka watz wanauliwa mbele yao hapana aisee kuna jambo nakataa kuna namna ...
 
Siku hizi jeshi ni ajira tu kama ajira nyingine.
Ndio maana kila siku wanazidi kudharaulika
 
Nimesoma shule ya jeshi tulifundishwa sana uzalendo kwa miaka minne maana walim wetu walikua ni wanajeshi asilimia 90 . Nimekujakushgaa sana kuona jeshi letu limejishushia heshima yake kwa asilimia kubwa sana nimeumia sana wale wazalendo walio kua jeshini wako wapi hata km imepita miaka 30 tangu nimalize shule... Wako wapi wanajeshi wetu walio kua wanatupa mafundisho ya kuipenda nchi yetu na mm nikaiva kweli kweli huniambii kibaya chochote kuhusu nchi yangu nikuache salam.Kama mm nilikua mwanafunzi tu je hao wanajeshi wenyewe sasa uzalendo huo umeenda wapi mpaka watz wanauliwa mbele yao hapana aisee kuna jambo nakataa kuna namna ...
CDF Mkunda yeye kazi yake ilikua ni kutokea kwenye TV tu na kuwatishia raia..
 
Siku hizi jeshi ni ajira tu kama ajira nyingine.
Ndio maana kila siku wanazidi kudharaulika
Heshima imeshuka sana jeshi limekua ni eneo la biashara wanapewa hela kidogo tu wanawauza raia raia wanakufa wao wapo tu wamelala zao makambini.. D9 hatutaki jeshi nchi itachukuliwa na wananchi
 
Back
Top Bottom