CCT, TEC na BAKWATA mtahukumiwa

CCT, TEC na BAKWATA mtahukumiwa

hizo ni taasisi za watu kwa mgongo wa dini. katika watu ambao watakuwa na kesi kubwa ya kujibu ni viongozi wa dini....
 
Dini zimelaaniwa niwakumbushe. Mauaji ya Rwanda yalitokea katika kanisani. Katoliki lilishiriki pamoja na kuwa 80%ya raia ni wa Katoliki. Actually some of the killings took place inside the church were people took refuge

Kwani kuna suala gani la kuwalaumu viongozi wa dini? Makamanda vipi bana.
 
CV yangu ni sawa na ya Dj ambaye ni mwenyekiti wenu. Ukiisoma yake umeisoma yangu.

Ndio maana nilitaka cv yako. Ona ulichokiandika. You are illiterate or semi - illiterate. Bye, na kuacha na size yako.
 
Ndio maana nilitaka cv yako. Ona ulichokiandika. You are illiterate or semi - illiterate. Bye, na kuacha na size yako.

Yeah, size yangu ni Dj Mwenyekiti wetu. Kama unaifahamu vizuri CV ya Dj Mwenyekiti na yangu iko hivyo hivyo kabisa.
 
Rafiki yangu, kwanini tunakuwa na namna hii ya hatari ya kuhitimisha jambo? Kwahiyo unaona ni sahihi kuanza kuwaona kuwa wanatenda jinai wale wanaoamini kuwa katiba inavunjwa kwa kuzuiwa kwa shughuli za kisiasa hadi mwaka 2020? Maana ndio issue ya msingi hapa. Maandamano na hiyo mikutano ni mambo ambayo yameruhusiwa kikatiba kwanini tuanze kuwaona wanaotekeleza ruhusa hiyo ya katiba kama watu wa ajabu hivi. Kwanini tusianzishe mchakato sasa wa kufutilia mbali ruhusa hiyo ya kikatiba ili kuondoa "ukakasi" huo ili watakapojaribu kuandamana tuwafutie usajili wa vyama vyao!
.
Amri ya JPM ni halali kwa mujibu wa ibara ya 30(1)-(3) ya Katiba ya Tanzania(1977).
Hivyo, wataokiuka wanastahili kuadhibiwa.
 
.
Amri ya JPM ni halali kwa mujibu wa ibara ya 30(1)-(3) ya Katiba ya Tanzania(1977).
Hivyo, wataokiuka wanastahili kuadhibiwa.
Tuandikie hiyo ibara inasemaje, na tuonyeshe hiyo adhabu kwenye penal code!
 
Back
Top Bottom