Lekakui
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,451
- 589
Wana jamii wenzangu ningeomba mnisaidie kwenye hili,juzi baada ya magamba kufanya mkutano wao pale jagwani walituma text kwa watu wengi na kati ya hao nilikuwa mmoja wa waliopata hiyo text imeandikwa hivi "SAFARI YA CCM KUSHINDA UCHAGUZI 2015 INAANZA LEO JAGWANI DSM,WANACCM WOTE IMEFIKA SASA TUSEME BASI JUU YA UPOTOSHAJI NA PROPAGANDA ZA WAPINZANI.CCM HAITETEREKI"Sender ni CCMMessage center ni +46730199100je wana JF mnaichukuliaje hii text!!!