Chama cha Mapinduzi(CCM) kimewateua Dkt. Godwin Mollel kugombea nafasi ya ubunge Jimbo la Siha na Ndg. Maulid Mtulia kugombea Jimbo la Kinondoni katika uchaguzi mdogo Februari 17
Wadau
Chama Cha Mapinduzi kimefanya uteuzi wa wanachama wawili kugombea nafasi za Ubunge katika majimbo ya Siha na Kinondoni.
Dk Godwin Mollel ameteuliwa kugombea Jimbo la Siha.
Ndg Maulid Mtulia ameteuliwa kugombea Jimbo la Kinondoni.
Chanzo: Katibu Itikadi na Uenezi CCM
Humphrey Polepole
UKAWA HAYA MAJIMBO PAMBANENI KWANI HAWA KUTUINGIZA GHARAMA HADI TUNAKOSWA MAENDELEO NAAMINI WANANCHI WATATUELEWA.HAKUNA KUIJTOA..NASHAURI KINONDONI WAWAACHIE CUF NA KILE KILIMANAJARO ASIMAME CHADEMA
Ccm mbona mnawaya waya? Muwatangaze tu kuwa wabunge. Sisi hatuwezi kufanya siasa wakati ccm mnafanya mauaji. Never. Kwetu sisi damu za watanzania zina thamani kuliko vyeo.
Ndo yale alokua anasema Nape...mtu kaingia tu CCM hata mwezi hana anaaminiwa kuzidi hata wale waliokipigania chama....
Hao wote natamani washindwe tu..ili tuone huo uzalendo wao kwa ccm ni upi??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.