CCM yaunga mkono Maridhiano ya kisiasa

CCM yaunga mkono Maridhiano ya kisiasa

.. Hii style alikuwa anaitumia zaidi JK. Iko hivi wameona hakuna haja ya kuangaika na watu wasio na madhara,sana sana ni kuleta attention kwa wafadhili wazungu bila sababu ya msingi. Hii style ilitumika sana kipindi cha JK. Na watakaofaidi hayo mnayoyaita maridhiano ni Mbowe na waliomzunguka.. FULL STOP. Ila mwananchi wa Tandahimba na Nyangulukulu mfuasi wa CHADEMA hayatamuhusu hata kidogo. Ukitaka kuamini hilo,hata akina Mdee watakaa bungeni hadi 2025 na story ya katiba mpya ndo imefika mwisho. Hakuna mkate mgumu mbele ya chai, ila mwisho wa movie watakaoathirika kisaikolojia ni wafuasi wa vyama wanaochukulia siasa kama ushabiki wa Simba na Yanga.
Kutoka zile kauli za "MBOWE ni GAIDI" Hadi kusema "MBOWE ni MSALITI" ni hatua pia. TUTAELEWANA tu.
.. Hii style alikuwa anaitumia zaidi JK. Iko hivi wameona hakuna haja ya kuangaika na watu wasio na madhara,sana sana ni kuleta attention kwa wafadhili wazungu bila sababu ya msingi. Hii style ilitumika sana kipindi cha JK. Na watakaofaidi hayo mnayoyaita maridhiano ni Mbowe na waliomzunguka.. FULL STOP. Ila mwananchi wa Tandahimba na Nyangulukulu mfuasi wa CHADEMA hayatamuhusu hata kidogo. Ukitaka kuamini hilo,hata akina Mdee watakaa bungeni hadi 2025 na story ya katiba mpya ndo imefika mwisho. Hakuna mkate mgumu mbele ya chai, ila mwisho wa movie watakaoathirika kisaikolojia ni wafuasi wa vyama wanaochukulia siasa kama ushabiki wa Simba na Yanga.
Kutokea zile kauli za "MBOWE GAIDI" Hadi "MBOWE MSALITI" ni hatua pia. TUTAELEWANA tu.
 
Walivyo wapuuzi MaCHADEMA yanaomba maridhiano wakati yenyewe yanadhulumu wanawake. Yafanye maridhiano pia
 
.. Hii style alikuwa anaitumia zaidi JK. Iko hivi wameona hakuna haja ya kuangaika na watu wasio na madhara,sana sana ni kuleta attention kwa wafadhili wazungu bila sababu ya msingi. Hii style ilitumika sana kipindi cha JK. Na watakaofaidi hayo mnayoyaita maridhiano ni Mbowe na waliomzunguka.. FULL STOP. Ila mwananchi wa Tandahimba na Nyangulukulu mfuasi wa CHADEMA hayatamuhusu hata kidogo. Ukitaka kuamini hilo,hata akina Mdee watakaa bungeni hadi 2025 na story ya katiba mpya ndo imefika mwisho. Hakuna mkate mgumu mbele ya chai, ila mwisho wa movie watakaoathirika kisaikolojia ni wafuasi wa vyama wanaochukulia siasa kama ushabiki wa Simba na Yanga.
JK aliridhiana nini na nani na ni wakati gani ?
 
Chama cha Mapinduzi (CCM) , kimetangaza kuunga Mkono Mazungumzo yanayoendelea kati ya Mwenyekiti wao na viongozi wa Chadema , yenye lengo la kuleta usawa wa KIDEMOKRASIA na HAKI , kwa MASLAHI MAPANA YA TAIFA.

Kauli hii nzuri imetangazwa hadharani na Shaka Hamdu Shaka , ambaye ni Katibu wa Uenezi na Itikadi wa Chama hicho , alipoongea na Waandishi wa Habari .
Kuweni makini... ccm na wanachama wake akina Paskali hawaridhishwi na kinachoendelea!
 
.. Hii style alikuwa anaitumia zaidi JK. Iko hivi wameona hakuna haja ya kuangaika na watu wasio na madhara,sana sana ni kuleta attention kwa wafadhili wazungu bila sababu ya msingi. Hii style ilitumika sana kipindi cha JK. Na watakaofaidi hayo mnayoyaita maridhiano ni Mbowe na waliomzunguka.. FULL STOP. Ila mwananchi wa Tandahimba na Nyangulukulu mfuasi wa CHADEMA hayatamuhusu hata kidogo. Ukitaka kuamini hilo,hata akina Mdee watakaa bungeni hadi 2025 na story ya katiba mpya ndo imefika mwisho. Hakuna mkate mgumu mbele ya chai, ila mwisho wa movie watakaoathirika kisaikolojia ni wafuasi wa vyama wanaochukulia siasa kama ushabiki wa Simba na Yanga.
Atakuwa na uhuru wa kuchagua viongozi anaoona wanafaa. Siyo hawa wapumbavu waliosokomezwa na mwendakuzimu jiwe
 
Kaongea lolote katika mabadiliko ya yatakayoongelewa kwenye kile kikosi kazi na malengo yake? Katiba Mpya ni lazima iwe baada ya 2025?

Vinginevyo, hiyo lugha ni kuwatia usingizi tu!
Tumeyaweka humu kwa makusudi ili kutengeneza ushahidi
 
Hahaaaa....CHADEMA imebaaanaaa,imeachia. Mbowe alishasoma upepo kwamba kupitia kwa mama Samia atapata Mali zake zilizopotea. Amekuja na gear ya maridhiano ya kisiasa.

Jiulize kwani Kuna tatizo miongoni mwa watanzania. Hayo maridhiano ni baina yake na serikali wala sio kwa niaba ya watanzania.
#hatamboweamelambaasali
 
Hahaaaa....CHADEMA imebaaanaaa,imeachia. Mbowe alishasoma upepo kwamba kupitia kwa mama Samia atapata Mali zake zilizopotea. Amekuja na gear ya maridhiano ya kisiasa.

Jiulize kwani Kuna tatizo miongoni mwa watanzania. Hayo maridhiano ni baina yake na serikali wala sio kwa niaba ya watanzania.
#hatamboweamelambaasali
Una fikra za kiTAGA.
 
.. Hii style alikuwa anaitumia zaidi JK. Iko hivi wameona hakuna haja ya kuangaika na watu wasio na madhara,sana sana ni kuleta attention kwa wafadhili wazungu bila sababu ya msingi. Hii style ilitumika sana kipindi cha JK. Na watakaofaidi hayo mnayoyaita maridhiano ni Mbowe na waliomzunguka.. FULL STOP. Ila mwananchi wa Tandahimba na Nyangulukulu mfuasi wa CHADEMA hayatamuhusu hata kidogo. Ukitaka kuamini hilo,hata akina Mdee watakaa bungeni hadi 2025 na story ya katiba mpya ndo imefika mwisho. Hakuna mkate mgumu mbele ya chai, ila mwisho wa movie watakaoathirika kisaikolojia ni wafuasi wa vyama wanaochukulia siasa kama ushabiki wa Simba na Yanga.
Wewe naamini huwezi Kuwa mshindani wa chochote kile, maana unatangaza kushindwa mapema.
Hayo mawazo ya nani atafaidi unaonyesha wewe unawaza ubinafsi zaidi kuliko jamii.
Mbowe Leo afaidike na nini kwa mazungumzo hayo?
Kwamba yuko pale kutafuta fadhila au?
Tuna safari ndefu sana kama Taifa.
 
Hahaaaa....CHADEMA imebaaanaaa,imeachia. Mbowe alishasoma upepo kwamba kupitia kwa mama Samia atapata Mali zake zilizopotea. Amekuja na gear ya maridhiano ya kisiasa.

Jiulize kwani Kuna tatizo miongoni mwa watanzania. Hayo maridhiano ni baina yake na serikali wala sio kwa niaba ya watanzania.
#hatamboweamelambaasali
Wewe ni MATAGA ?
 
Chama cha Mapinduzi (CCM) , kimetangaza kuunga Mkono Mazungumzo yanayoendelea kati ya Mwenyekiti wao na viongozi wa Chadema , yenye lengo la kuleta usawa wa KIDEMOKRASIA na HAKI , kwa MASLAHI MAPANA YA TAIFA.

Kauli hii nzuri imetangazwa hadharani na Shaka Hamdu Shaka , ambaye ni Katibu wa Uenezi na Itikadi wa Chama hicho , alipoongea na Waandishi wa Habari .
Waondoeni wale Virusi 19 ndo maridhiano yaendelee, katiba inasiginwa wazi wazi hivi?
 
.. Hii style alikuwa anaitumia zaidi JK. Iko hivi wameona hakuna haja ya kuangaika na watu wasio na madhara,sana sana ni kuleta attention kwa wafadhili wazungu bila sababu ya msingi. Hii style ilitumika sana kipindi cha JK. Na watakaofaidi hayo mnayoyaita maridhiano ni Mbowe na waliomzunguka.. FULL STOP. Ila mwananchi wa Tandahimba na Nyangulukulu mfuasi wa CHADEMA hayatamuhusu hata kidogo. Ukitaka kuamini hilo,hata akina Mdee watakaa bungeni hadi 2025 na story ya katiba mpya ndo imefika mwisho. Hakuna mkate mgumu mbele ya chai, ila mwisho wa movie watakaoathirika kisaikolojia ni wafuasi wa vyama wanaochukulia siasa kama ushabiki wa Simba na Yanga.
Mandela aliongea na waliomtesa yakaisha, wewe unasema hakuna mkate mgumu mbele ya chai? Siasa za vitisho na ubabe ni awamu ya 5.
 
.. Hii style alikuwa anaitumia zaidi JK. Iko hivi wameona hakuna haja ya kuangaika na watu wasio na madhara,sana sana ni kuleta attention kwa wafadhili wazungu bila sababu ya msingi. Hii style ilitumika sana kipindi cha JK. Na watakaofaidi hayo mnayoyaita maridhiano ni Mbowe na waliomzunguka.. FULL STOP. Ila mwananchi wa Tandahimba na Nyangulukulu mfuasi wa CHADEMA hayatamuhusu hata kidogo. Ukitaka kuamini hilo,hata akina Mdee watakaa bungeni hadi 2025 na story ya katiba mpya ndo imefika mwisho. Hakuna mkate mgumu mbele ya chai, ila mwisho wa movie watakaoathirika kisaikolojia ni wafuasi wa vyama wanaochukulia siasa kama ushabiki wa Simba na Yanga.

Usipende kujifungia ndani Halafu ukadhani unyoona upo pekee yako. Mbona chadema wanaendelea na kongamamno la katiba au hujui, na Sasa nadhani wapo Arusha. Halafu sikiliza hotuba ya Mwenyekiti wa Chadema kwenye baraza kuu kasema chadema itaendelea na hoja ya katiba Mpya na ndio maana wapo kwenye mazungumzo.

Halafu kwenye mazungumzo viongozi wanawakilisha wanachama, wakifikia maridhiano basi wote tutafahamishwa. Hatuwezi wote kwenda kwenye mazungumzo. Mazungumzo ya Kikwete na Chadema yalizaa mchakato wa katiba Mpya.
 
Back
Top Bottom