jumanne12
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 420
- 274
Tutatuma hela kwa mabasi na swala la kuhifadhi bado sijavunja lake kamtungi ka bibiWananchi tulmeziangalia hizo tozo tayari, na rumechukua hatua. CCM na Serikali yake wasihangaike na huo unafiki wao.