CCM yatia aibu Mafinga, mkutano wao wadoda

CCM yatia aibu Mafinga, mkutano wao wadoda

Ni kweli mimi mwenyewe nilipita jirani sana na eneo la mkutano, nikashangaa. Mkutano ulikosa watu. Labda nadhani hawakujipanga kwenda vijijini kusomba wanavijiji kama ilivyo ada ili wahudhurie mkutano. Ilikuwa ni aibu kweli! Watu wa Mafinga hawana time na Magamba.
 
Simiyu atakufa kifo ch mende, acha unafiki na ushabiki wa kijinga c uweke picha za hao watu waliojaa kuwasikiliza magamba, au unakua mwili 2
 
haya kaka, picha nimeziona, inaonyesha zilipigwa wakati wanachama wanajipanga. Kama ni kweli basi ni vema wahusika kuongeza jitihada za kupata wanachama wapya.

nduguyangu maccm mafinga mjini hawana chao mtajiwao ni vijijini chadema vijijin bado 2nakz.
 
attachment.php
attachment.php
attachment.php

attachment.php
attachment.php
 
Chama cha Mapinduzi leo hii kimepata aibu ya mwaka baada ya mkutano wao kukosa watu kabisa! Na walipoona hali mbaya kwa kukwepa aibu katibu wa CCM wilaya ya Mufindi bwana Jakobu mkomola,alikwenda shule ya msingi Mkombwe na kumwomba mwalimu mkuu kumpa watoto wa darasa la4 ili kuepusha aibu ya mwaka.

Fatilia picha na matukio hapochini.

CCM walienda kuwaaga watu ambao hawataki hata kuagwa. Wakaishia kuwaomba akina Kayumba ili waage kwa lazima.
 
Chama cha Mapinduzi leo hii kimepata aibu ya mwaka baada ya mkutano wao kukosa watu kabisa! Na walipoona hali mbaya kwa kukwepa aibu katibu wa CCM wilaya ya Mufindi bwana Jakobu mkomola,alikwenda shule ya msingi Mkombwe na kumwomba mwalimu mkuu kumpa watoto wa darasa la4 ili kuepusha aibu ya mwaka.

Fatilia picha na matukio hapochini.

Bravo Mafinga! Bravo M4C!
 
Naona hawana pesa yakumleta Diamond au Masanja.
 
Simiyu atakufa kifo ch mende, acha unafiki na ushabiki wa kijinga c uweke picha za hao watu waliojaa kuwasikiliza magamba, au unakua mwili 2

Magamba ya buku 7 hayapo hapa leo
 
Back
Top Bottom