Chama cha Mapinduzi leo hii kimepata aibu ya mwaka baada ya mkutano wao kukosa watu kabisa! Na walipoona hali mbaya kwa kukwepa aibu katibu wa CCM wilaya ya Mufindi bwana Jakobu mkomola,alikwenda shule ya msingi Mkombwe na kumwomba mwalimu mkuu kumpa watoto wa darasa la4 ili kuepusha aibu ya mwaka.
Fatilia picha na matukio hapochini.
Fatilia picha na matukio hapochini.