CCM yatamba kushinda majimbo yote

CCM yatamba kushinda majimbo yote

Hahaha wasisahau kutuambia na idadi ya kura watakazopata.
Maana sikuhizi hata zile picha za kampeni zilizosheheni watu hawatuonyeshi.
Hivi wale polisi FFU watakuwepo pia uchaguzi huu au hajasema?!
singida kashinda kwa kura miambili kati ya kura 200 zilizopigwa
 
Jamani hebu tuacheni unafiki Watanzania wenzangu. Kwani kuna Uchaguzi hapa au watu wameandaa makaratasi yatakayoonyesha ushindi wa Kishindo wakati wapigakura wenyewe watakuwa wachache vituoni baada ya kuona wanasiasa wanachezea kodi za Watanzania?
Tunaweza kupata wapi gharama zote zilizotumika kuandaa mpaka kukamilisha zoezi zima, Sina hakika Kama wanaojitapa kushinda Kama anaweza kulisemea hili. Yawezekana gharama ya maandalizi ingeweza kufanya jambo kubwa na muhimu kwa nchi yetu. Ifikie hatua mbunge/diwani akiachia ngazi yeye mwenyewe pasiwepo na uchaguzi na badala yake mbunge viti maalum akamilishe Muda uliobaki
 
Huwa namuangaliaga pole pole simmalizi No wonder Kiji Bisimba kasema Lulu Iliyogeuka Tope I agree with her
 
Literary kwa nini chadema mmesusia??? Its a hopeles decision ever..ur falling while smiling
 
Jengeni nchi nyinyi ndio maana Trump anatukana Waafrika hovyo , miaka yote hiyo mpaka leo hii mwelekeo zero. Hata mshinde viti vyote vya ubunge, udiwani , na kila ngazi ya uongozi, bado tuu nchi itazidi kuoza katika utawala wenu maana hakuna jipya mlipo toka na mnapoelekea.
 
haa haa kwa ccm ushindi ni lazima.maana tume ni ya maccm, msimamizi ni maccm kwa nini wasishinde?
 
MATOKEO YA UCHAGUZI SONGEA

Hapa Songea mjini Kata ya Majengo Kituo cha Sokoni No.1, waliojiandikisha walikuwa 304, waliopiga kura ni 25 tu na kati ya hao 25 waliojitokeza, CCM wameambulia watu 19 tu na hawa 6 waliobaki wamewapigia wa CUF.
 
Back
Top Bottom