CCM yatamba kushinda majimbo yote

CCM yatamba kushinda majimbo yote

radika

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
20,450
Reaction score
32,290
CCM.jpg


Chama cha Mapinduzi CCM kimesema kuwa kitaibuka na ushindi mkubwa kwenye uchaguzi mdogo wa marudio wa majimbo matatu ya Singida Kaskazini, Longido na Songea Mjini.

Hayo yamesemwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri Kuu CCM, Humphrey Polepole ambapo amesema kuwa Chama hicho hakina hofu ya ushindi.

Amesema kuwa Chama hicho kimefanya maandalizi makubwa hivyo kwao ushindi ni lazima katika majimbo yote yanayorudiwa uchaguzi.

“Tumekuwa tukifanya tafiti nyingi kuhusu shida za wananchi, na endapo tukifanikiwa kuchaguliwa katika majimbo hayo, kazi kubwa itakuwa ni kwenda kutatua changamoto za wananchi ambazo tayari tumeshazijua,”amesema Polepole

Hata hivyo, amewataka wapiga kura kufuata taratibu zote zilizowekwa ili kuondokana na usumbufu ambao unaweza kujitokeza
 
CCM.jpg


Chama cha Mapinduzi CCM kimesema kuwa kitaibuka na ushindi mkubwa kwenye uchaguzi mdogo wa marudio wa majimbo matatu ya Singida Kaskazini, Longido na Songea Mjini.

Hayo yamesemwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri Kuu CCM, Humphrey Polepole ambapo amesema kuwa Chama hicho hakina hofu ya ushindi.

Amesema kuwa Chama hicho kimefanya maandalizi makubwa hivyo kwao ushindi ni lazima katika majimbo yote yanayorudiwa uchaguzi.

“Tumekuwa tukifanya tafiti nyingi kuhusu shida za wananchi, na endapo tukifanikiwa kuchaguliwa katika majimbo hayo, kazi kubwa itakuwa ni kwenda kutatua changamoto za wananchi ambazo tayari tumeshazijua,”amesema Polepole

Hata hivyo, amewataka wapiga kura kufuata taratibu zote zilizowekwa ili kuondokana na usumbufu ambao unaweza kujitokeza

Kila la Kheri Chama tawala Chama cha wagombea Urais wa Chadema 2010 na 2015
 
Jamani hebu tuacheni unafiki Watanzania wenzangu. Kwani kuna Uchaguzi hapa au watu wameandaa makaratasi yatakayoonyesha ushindi wa Kishindo wakati wapigakura wenyewe watakuwa wachache vituoni baada ya kuona wanasiasa wanachezea kodi za Watanzania?
 
CCM.jpg


Chama cha Mapinduzi CCM kimesema kuwa kitaibuka na ushindi mkubwa kwenye uchaguzi mdogo wa marudio wa majimbo matatu ya Singida Kaskazini, Longido na Songea Mjini.

Hayo yamesemwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri Kuu CCM, Humphrey Polepole ambapo amesema kuwa Chama hicho hakina hofu ya ushindi.

Amesema kuwa Chama hicho kimefanya maandalizi makubwa hivyo kwao ushindi ni lazima katika majimbo yote yanayorudiwa uchaguzi.

“Tumekuwa tukifanya tafiti nyingi kuhusu shida za wananchi, na endapo tukifanikiwa kuchaguliwa katika majimbo hayo, kazi kubwa itakuwa ni kwenda kutatua changamoto za wananchi ambazo tayari tumeshazijua,”amesema Polepole

Hata hivyo, amewataka wapiga kura kufuata taratibu zote zilizowekwa ili kuondokana na usumbufu ambao unaweza kujitokeza
Hiyo ni punyeto.
 
Hahaha wasisahau kutuambia na idadi ya kura watakazopata.
Maana sikuhizi hata zile picha za kampeni zilizosheheni watu hawatuonyeshi.
Hivi wale polisi FFU watakuwepo pia uchaguzi huu au hajasema?!
 
Back
Top Bottom