MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,320
- 6,376
Huwa mwalimu wenu ni nani? Wanafunzi wake wote mnafanana katika kujenga hoja na matumizi ya lugha, mwambie awafundishe kwa ubunifu zaidi mmezidi ku copy-paste
Malaria sugu
Huwa mwalimu wenu ni nani? Wanafunzi wake wote mnafanana katika kujenga hoja na matumizi ya lugha, mwambie awafundishe kwa ubunifu zaidi mmezidi ku copy-paste
Mdahalo kitu kidogo sana kwa JK, hakuna asiyefahamu kwamba uwezo wa JK ni mkubwa mno kupitiliza ukimlinganisha na wapinzani na hususani slaa ! namshauri slaa angerudi kwenye ubunge tu ! angalau ubunge SLAA anafanananao.