CCM Yapumulia Mashine, Yageuka SACCOS

CCM Yapumulia Mashine, Yageuka SACCOS

Hizi propaganda mnazofikiria vijana wa BAVICHA hamfahamu kuwa CCM ilishatoka huko zamani sana.

CHADEMA ni chama cha walaghai.

endeleeni kujifariji kwa ulaghai sababu ulaghai katika CHADEMA ni jadi lakini kumbukeni ulaghai una mwisho wake

Katibu wenu Mkuu amefika hapo alipofika kwa njia ya ulaghai na kwa sasa anakosa hata mbinu zaidi za ulaghai.

Dr. Slaa has got deception mentality na hawezi kuacha kwa sababu hata ahadi aliyoweka na Pope John Paul II hakuitimiza.

Alianzia kwenye kanisa, akalilaghai kama atakuwa mtumishi wa Mungu katika maisha yake yoye wakati anafahamu hawezi.

Akamlaghai Rose Kamili kama watakuwa wawili katika shida na raha (ndoa) wakati anafahamu kuwa hawezi.

Akawalaghai watanzania 2010 kuwa anafahamu ufumbuzi wa matatizo yao wakati alifahamu kuwa hayafahamu.

Kwa sasa anawalaghai tena watanzania kuwa yuko kwenye "Vision tour" wakati anaomba visa ubalozi wa Marekani kwenye form za visa alisema anaenda Marekani kwa jambo lingine.

Sitashangaa kama hata process aliyotumia kupata u-Dr nayo atakuwa amelaghai.

Ulaghai ni zaidi ya ufisadi na tuupige vita kama ukoma.


nini mahaba yenu kwa cdm ...maanake msipo andika siku kwenu sio nzuri...mnapenda nini mti bendera au nyege za kutamka cdm au slaa ........tuuuuu
 
chama cha mapinduzi maarufu kama ccm sasa kinaelekea kufutika katika ramani ya vyama vikongwe afrika, sasa baada ya kuona umaarufu wake unashuka kwa kasi ya ajabu na kutishia uhai wake, chama hiki kimekuja na mbinu mpya,

ccm imeanza kutoa mikopo ya pesa kwa wanachama wake ili wasiendelee kuhama chama hicho, na wasio wanachama ili wajiunge na chama hicho, wiki hii na mimi nimekuwa mmoja wa walionufaika na kodi yangu ambayo nimekuwa nikitozwa kila nikinunua nguo, furnitures, chakula, vinywaji, epa, uswizi, rada, buzwagi, nk. Tulifuatwa na kiongozi mmoja mkubwa wa ccm akatutaka tuanzishe kikundi cha watu 10 ili atupatie pesa, kweli bhana tumepokea mgawo wa shilingi milioni 10, tumegawana kila mmoja, ila tumeambiwa inabidi tupewe kadi za chama na kutafuta wanachama wapya tukasema poa tu, kula ccm lakini kura sisi tunaangalia mtu sio chama, huwezi kunilazimisha kuoa binti nisiye mtaka mimi, sisi tunajitambua kiakili na kifkira.


kwanza kabisa nakupongeza kwa kutambua kwamba pesa hizo ni sehemu ya pesa zako za kodi iliyo fisadiwa na chama cha mapinduzi, pili nakushauri watafute maskini wengine muhakikishe mnazichukua pesa hizo zilizo ibiwa na maccm, nakuzifanyia kazi,tatu kura ni siri yako chagua mabadiliko,
 
hii issue nimeambiwa jana tu ila sikuamini.
ni hapo makoroboi mwanza machinga wote wameagizwa wajiunge watu kumi wapewe 10m!
Eee Mungu unikumbuke na mimi!
 
njooni arusha tayari kuna makundi yakutosha.itakua kheri sana,nitachukua hata kadi tatu,raha sana kurudishiwa kodi yangu

mungu hamtupi mja wake,ndivyo zitakavyo rudi,2015 fungua akaunt zaid ya 4,
 
Sina haja na pesa za ccm ni kujitakia laana na jehanamu ya moto
 
Hizi propaganda mnazofikiria vijana wa BAVICHA hamfahamu kuwa CCM ilishatoka huko zamani sana.

CHADEMA ni chama cha walaghai.

endeleeni kujifariji kwa ulaghai sababu ulaghai katika CHADEMA ni jadi lakini kumbukeni ulaghai una mwisho wake

Katibu wenu Mkuu amefika hapo alipofika kwa njia ya ulaghai na kwa sasa anakosa hata mbinu zaidi za ulaghai.

Dr. Slaa has got deception mentality na hawezi kuacha kwa sababu hata ahadi aliyoweka na Pope John Paul II hakuitimiza.

Alianzia kwenye kanisa, akalilaghai kama atakuwa mtumishi wa Mungu katika maisha yake yoye wakati anafahamu hawezi.

Akamlaghai Rose Kamili kama watakuwa wawili katika shida na raha (ndoa) wakati anafahamu kuwa hawezi.

Akawalaghai watanzania 2010 kuwa anafahamu ufumbuzi wa matatizo yao wakati alifahamu kuwa hayafahamu.

Kwa sasa anawalaghai tena watanzania kuwa yuko kwenye "Vision tour" wakati anaomba visa ubalozi wa Marekani kwenye form za visa alisema anaenda Marekani kwa jambo lingine.

Sitashangaa kama hata process aliyotumia kupata u-Dr nayo atakuwa amelaghai.

Ulaghai ni zaidi ya ufisadi na tuupige vita kama ukoma.
Mbona huchambui hoja? Hoja iliyopo mezani ni CCM kuwa saccoss, kukopesha wanachama wake! wewe unakuja na hasira zako dhidi ya Slaa! kweli unaakili timamu? Haya maisha bora mliyotuahidi watanzania yako wapi? ninani anaeneza ulaghai zaidi ya CCM na nyie wachawi wake?
 
Kuleni tu hizo pesa ni zenu mbona kila sehemu ya pande la nchi wanahonga lakini watu wanajua ,wanawahonga ili wao na watoto wao waendelee kula kwa mrija na kuneemesha familia zao tunakaribia uchaguzi wa serikali za mitaa sasa hizo fedha ni za halmashauri zenu hawanunuwi madawati shuleni wala dawa hospitalini wala vivuko ziwani ili wabaki madarakani siku nyingine mukishamaliza kugawiwa fedha wakamateni wapigeni kiberiti wafie mbali hao mumiani hawa demokrasia
 
Chama cha Mapinduzi maarufu kama CCM sasa kinaelekea kufutika katika Ramani ya vyama vikongwe Afrika, sasa baada ya kuona umaarufu wake unashuka kwa kasi ya ajabu na kutishia uhai wake, chama hiki kimekuja na mbinu mpya,

CCM imeanza kutoa mikopo ya pesa kwa wanachama wake ili wasiendelee kuhama chama hicho, na wasio wanachama ili wajiunge na chama hicho, Wiki hii na mimi nimekuwa mmoja wa walionufaika na kodi yangu ambayo nimekuwa nikitozwa kila nikinunua Nguo, furnitures, chakula, vinywaji, EPA, USWIZI, RADA, BUZWAGI, NK. tulifuatwa na kiongozi mmoja mkubwa wa CCM akatutaka tuanzishe kikundi cha watu 10 ili atupatie pesa, kweli bhana tumepokea mgawo wa shilingi milioni 10, tumegawana kila mmoja, ila tumeambiwa inabidi tupewe kadi za chama na kutafuta wanachama wapya tukasema poa tu, kula CCM lakini Kura sisi tunaangalia mtu sio chama, Huwezi kunilazimisha kuoa binti nisiye mtaka mimi, sisi tunajitambua kiakili na kifkira.




Wapi huko mkuu. Hata mi wakinipa mkopo nauchukua harafu nakuwa nawaangalia kwa jicho la kwapani..kwenye kura nawapiga ngwala, chezeya mtanzania wa leo wewe..si wanatuona sisi vyura wa majarubani
 
Kila anaeipinga CCM ni Chadema?
Tanzania kuna vyama vingapi vya upinzani?
Kila mtu ana chama?
CCM kama sio wizi wa kura mngekuwa hai hadi leo?
2015 tuone kama mtaiba tena patachimbika.

Think further
Hizi propaganda mnazofikiria vijana wa BAVICHA hamfahamu kuwa CCM ilishatoka huko zamani sana.

CHADEMA ni chama cha walaghai.

endeleeni kujifariji kwa ulaghai sababu ulaghai katika CHADEMA ni jadi lakini kumbukeni ulaghai una mwisho wake

Katibu wenu Mkuu amefika hapo alipofika kwa njia ya ulaghai na kwa sasa anakosa hata mbinu zaidi za ulaghai.

Dr. Slaa has got deception mentality na hawezi kuacha kwa sababu hata ahadi aliyoweka na Pope John Paul II hakuitimiza.

Alianzia kwenye kanisa, akalilaghai kama atakuwa mtumishi wa Mungu katika maisha yake yoye wakati anafahamu hawezi.

Akamlaghai Rose Kamili kama watakuwa wawili katika shida na raha (ndoa) wakati anafahamu kuwa hawezi.

Akawalaghai watanzania 2010 kuwa anafahamu ufumbuzi wa matatizo yao wakati alifahamu kuwa hayafahamu.

Kwa sasa anawalaghai tena watanzania kuwa yuko kwenye "Vision tour" wakati anaomba visa ubalozi wa Marekani kwenye form za visa alisema anaenda Marekani kwa jambo lingine.

Sitashangaa kama hata process aliyotumia kupata u-Dr nayo atakuwa amelaghai.

Ulaghai ni zaidi ya ufisadi na tuupige vita kama ukoma.
 
Hizi propaganda mnazofikiria vijana wa BAVICHA hamfahamu kuwa CCM ilishatoka huko zamani sana.

CHADEMA ni chama cha walaghai.

endeleeni kujifariji kwa ulaghai sababu ulaghai katika CHADEMA ni jadi lakini kumbukeni ulaghai una mwisho wake

Katibu wenu Mkuu amefika hapo alipofika kwa njia ya ulaghai na kwa sasa anakosa hata mbinu zaidi za ulaghai.

Dr. Slaa has got deception mentality na hawezi kuacha kwa sababu hata ahadi aliyoweka na Pope John Paul II hakuitimiza.

Alianzia kwenye kanisa, akalilaghai kama atakuwa mtumishi wa Mungu katika maisha yake yoye wakati anafahamu hawezi.

Akamlaghai Rose Kamili kama watakuwa wawili katika shida na raha (ndoa) wakati anafahamu kuwa hawezi.

Akawalaghai watanzania 2010 kuwa anafahamu ufumbuzi wa matatizo yao wakati alifahamu kuwa hayafahamu.

Kwa sasa anawalaghai tena watanzania kuwa yuko kwenye "Vision tour" wakati anaomba visa ubalozi wa Marekani kwenye form za visa alisema anaenda Marekani kwa jambo lingine.

Sitashangaa kama hata process aliyotumia kupata u-Dr nayo atakuwa amelaghai.

Ulaghai ni zaidi ya ufisadi na tuupige vita kama ukoma.

Umesema "ULAGHAI NA ZAIDI YA UFISADI" Kumbe veve kusajua kama ccm iko fisadi ehh!!!!!!!!
 
Kama viongozi WA ccm wangekuwa Makino hizo fedha wangezielekeza kwa wanafunzi WA elimi ya juu waliokosa mikopo. Lakini kwa ufinyu wao WA akili wanazitapanya kwa mambo yasiyoeleweka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom