TOWNSEND
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,598
- 460
Hizi propaganda mnazofikiria vijana wa BAVICHA hamfahamu kuwa CCM ilishatoka huko zamani sana.
CHADEMA ni chama cha walaghai.
endeleeni kujifariji kwa ulaghai sababu ulaghai katika CHADEMA ni jadi lakini kumbukeni ulaghai una mwisho wake
Katibu wenu Mkuu amefika hapo alipofika kwa njia ya ulaghai na kwa sasa anakosa hata mbinu zaidi za ulaghai.
Dr. Slaa has got deception mentality na hawezi kuacha kwa sababu hata ahadi aliyoweka na Pope John Paul II hakuitimiza.
Alianzia kwenye kanisa, akalilaghai kama atakuwa mtumishi wa Mungu katika maisha yake yoye wakati anafahamu hawezi.
Akamlaghai Rose Kamili kama watakuwa wawili katika shida na raha (ndoa) wakati anafahamu kuwa hawezi.
Akawalaghai watanzania 2010 kuwa anafahamu ufumbuzi wa matatizo yao wakati alifahamu kuwa hayafahamu.
Kwa sasa anawalaghai tena watanzania kuwa yuko kwenye "Vision tour" wakati anaomba visa ubalozi wa Marekani kwenye form za visa alisema anaenda Marekani kwa jambo lingine.
Sitashangaa kama hata process aliyotumia kupata u-Dr nayo atakuwa amelaghai.
Ulaghai ni zaidi ya ufisadi na tuupige vita kama ukoma.
nini mahaba yenu kwa cdm ...maanake msipo andika siku kwenu sio nzuri...mnapenda nini mti bendera au nyege za kutamka cdm au slaa ........tuuuuu