DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
Wanabodi.
Ni mwaka mmoja umebaki kufikia uchaguzi wa Rais,Wabunge na Madiwani.
Ccm ilituahidi Mengi hususana maisha bora,ambapo mpaka sasa utekelezaji wake hakuna.
Vijijini barabara ni mbovu,maji ya shida huku Singida vijijini mpaka Simanjiro,Kigoma kuwa Dubai imekuwa nongwa,Meli kubwa Ziwa Victoria imeonekana ile iliyotengenezwa mwaka 1952,Airpot ya kimataifa Karagwe hadithi ile ile ya miaka mingi ya uongo wa ccm.
Maisha yamekuwa magumu,elimu ya msingi kuwa bure eti mtoto mmoja elfu 45 kwa mwaka..aibu ya ccm iliyopoteza mwelekeo.
Bado muendelee kuaminika?
Wamebaki kuwahadaa watanzania kwa kuwaleza kuwa wapinzani wanavuruga amani,kisa wanakumbushwa 'Maisha bora' walioahidi.
Ni mwaka mmoja umebaki kufikia uchaguzi wa Rais,Wabunge na Madiwani.
Ccm ilituahidi Mengi hususana maisha bora,ambapo mpaka sasa utekelezaji wake hakuna.
Vijijini barabara ni mbovu,maji ya shida huku Singida vijijini mpaka Simanjiro,Kigoma kuwa Dubai imekuwa nongwa,Meli kubwa Ziwa Victoria imeonekana ile iliyotengenezwa mwaka 1952,Airpot ya kimataifa Karagwe hadithi ile ile ya miaka mingi ya uongo wa ccm.
Maisha yamekuwa magumu,elimu ya msingi kuwa bure eti mtoto mmoja elfu 45 kwa mwaka..aibu ya ccm iliyopoteza mwelekeo.
Bado muendelee kuaminika?
Wamebaki kuwahadaa watanzania kwa kuwaleza kuwa wapinzani wanavuruga amani,kisa wanakumbushwa 'Maisha bora' walioahidi.