CCM yapata pigo baya Lugata

CCM yapata pigo baya Lugata

...Kamanda Mawazo; wee acha tu !!!!!!!!!!!!

CHADEMA Makao Makuu, chonde kati ya vijana wetu kibao ndani ya chama na juhudi zao zisizoelezeka kule mashinani kote nchini, napenda kuleta kwenu ombi langu kwenu kuwatambua kwa namna ya kipekee hawa wenzetu akiwemo Kamanda Mawazo, Ally Bananga, Ben Saanane, John Heche, Ole Milya, Ephata Nanyaro, Mwita Maranya, Sugu, na Mchungaji Msigwa.

Hakika hawa vijana wetu, kati ya wengine wengi sana tu, ni moto wa kuotea mbali mnoooo!!!!!!!!!!!!!

umemsahau Mzee wa Upako wa Mbeya - Mwambigija
 
Chama
cha mapinduzi kimdpoteza wenyeviti wanane na kujiunga na chadema
leo,hayo yametokea baada ya Kamanda Mawazo kutoa hotuba yenye ushawishi
mkubwa kwenye kampeni za udiwani.Wa kwanza ni Ntimanywa wa Lugata center

Asanteni sana watu wa Sengerema na Buchosa kwa ujumla,ukombozi sasa umewadia huko. Huwa nafarijika sana kusikia habari kama hizi! Bravo bravo Mawazo we ni Jembe!
 
Magamba hayaponi hata kwanini safi sana kama mawazo
 
Huyu mawazo kwa nini haendi kushiriki vikao vya madiwani arusha?
 
nimekubali haw CHADEMA ni washenzi!!! Wanakaba mpaka penalt !!
Hai...!!?wamefika mpaka visiwani ! Bhojo chafwa.
 
Habari za uzushi, Lugata CHADEMA haina mgombea makini, mmemweka jitu lisilo na sifa
Mafilili bwana.habari ni hao wenyeviti wa vijiji waliopiga chini sio issue za diwani, jaribu kuzitendea elfu saba haki japo kwa kusimama kwenye hoja.ungeweza tu kusema hizo habari ni za uzushi umewasiliana na viongozi wa chama maeneo hayo na kuthibitishiwa kwamba huu ni uzushi na huyo kamanda mawazo hakuwa huko lugata bali alikuwa morogoro kwenye mkutano na dr slaa jana.ila sio kwenda nje ya mada namna hii.alafu mkumbuke elfu saba kwa post sio pesa kidogo punguzeni starehe muweke akiba zitawafaa baada ya 2015.sababu kwa post ya namna hii inaonyesha chai haujanywa.
 
...Kamanda Mawazo; wee acha tu !!!!!!!!!!!!

CHADEMA Makao Makuu, chonde kati ya vijana wetu kibao ndani ya chama na juhudi zao zisizoelezeka kule mashinani kote nchini, napenda kuleta kwenu ombi langu kwenu kuwatambua kwa namna ya kipekee hawa wenzetu akiwemo Kamanda Mawazo, Ally Bananga, Ben Saanane, John Heche, Ole Milya, Ephata Nanyaro, Mwita Maranya, Sugu, na Mchungaji Msigwa.

Hakika hawa vijana wetu, kati ya wengine wengi sana tu, ni moto wa kuotea mbali mnoooo!!!!!!!!!!!!!


MKuu,

Foundation/Msingi wa Nyumba huwa haupati nafasi ya kuonekana sana kama ilivyo ukuta, madirisha, milango n.k ambavyo hupambwa na kutambuliwa kwa 'namna ya kipekee' lakini umuhimu wake (msingi) ni muhimu sana kuliko hata mlango.!

Kutambua kwa namna ya kipekeee watu uliowataja inaweza isiwe na tafsiri unayojaribu kumaanisha. Kuna watu wengi sana ambao wanatakiwa kutambuliwa kwa namna hiyo, ni zaidi ya vigezo unavyotumia. Katika 'team work' ambayo ndio CDM wanatumia kila mtu anacheza kwenye nafasi yake ukiachilia mbali wasaliti wachache.

Kuna baadhi ya wana-JF ambao wana mchango wa kipekee kwa jinsi wanavyowachachafya wazee wa Lumumba.....

Mwisho wa siku wanaotakiwa kutambuliwa kipekee ni wale wanaokubali kubadilika kifikra; change of mind set is never an easy thing!
 
Habari za uzushi, Lugata CHADEMA haina mgombea makini, mmemweka jitu lisilo na sifa

Sasa uzushi nini au kutokuwa na mgombea makini naje kikwete kwa akili yako ni makini je kwangu mimi hata udiwani kikwete hakupaswah kupea hata nyumba kumi labda afisa utamaduni kata..
 
Huyu mawazo kwa nini haendi kushiriki vikao vya madiwani arusha?
Ukitaka uone ngoma inogire subiri uchaguzi uishe utaona kitakachofanyika..dondo ni kwamaba mawqazo atarudi kwenye halimashauri mpaka siku watakapo itangaza kata yake kuwa iko wazi maana hawataki kukubali kuwa alisha hamia chadema...
 
Ukitaka uone ngoma inogire subiri uchaguzi uishe utaona kitakachofanyika..dondo ni kwamaba mawqazo atarudi kwenye halimashauri mpaka siku watakapo itangaza kata yake kuwa iko wazi maana hawataki kukubali kuwa alisha hamia chadema...

Right.this is what is supposed to be.good move. I will follow this up.
 
Hoja yako inakidhi viwango vyote vya kukubalika na kuheshimika kwangu bila kuzunguka kitu hapa mkuu.

MKuu,

Foundation/Msingi wa Nyumba huwa haupati nafasi ya kuonekana sana kama ilivyo ukuta, madirisha, milango n.k ambavyo hupambwa na kutambuliwa kwa 'namna ya kipekee' lakini umuhimu wake (msingi) ni muhimu sana kuliko hata mlango.!

Kutambua kwa namna ya kipekeee watu uliowataja inaweza isiwe na tafsiri unayojaribu kumaanisha. Kuna watu wengi sana ambao wanatakiwa kutambuliwa kwa namna hiyo, ni zaidi ya vigezo unavyotumia. Katika 'team work' ambayo ndio CDM wanatumia kila mtu anacheza kwenye nafasi yake ukiachilia mbali wasaliti wachache.

Kuna baadhi ya wana-JF ambao wana mchango wa kipekee kwa jinsi wanavyowachachafya wazee wa Lumumba.....

Mwisho wa siku wanaotakiwa kutambuliwa kipekee ni wale wanaokubali kubadilika kifikra; change of mind set is never an easy thing!
 
  • Thanks
Reactions: MC
Mkuu maguzu masese hao waliovaa gwanda ni wenyeviti wa vijiji ama vitongoji?
alafu pia atuambie ni wapi hiko kitu kimetokea kwani wachache wanamjua km maguzu masese ni wa serengeti musoma kwetu. kamanda masese uwe unaleta taarifa isiyo acha swali humu jukwaani tell us the full story and clear
 
Chama
cha mapinduzi kimdpoteza wenyeviti wanane na kujiunga na chadema
leo,hayo yametokea baada ya Kamanda Mawazo kutoa hotuba yenye ushawishi
mkubwa kwenye kampeni za udiwani.Wa kwanza ni Ntimanywa wa Lugata center

Habari njema! Big up makamanda
 
mkuu,

foundation/msingi wa nyumba huwa haupati nafasi ya kuonekana sana kama ilivyo ukuta, madirisha, milango n.k ambavyo hupambwa na kutambuliwa kwa 'namna ya kipekee' lakini umuhimu wake (msingi) ni muhimu sana kuliko hata mlango.!

Kutambua kwa namna ya kipekeee watu uliowataja inaweza isiwe na tafsiri unayojaribu kumaanisha. Kuna watu wengi sana ambao wanatakiwa kutambuliwa kwa namna hiyo, ni zaidi ya vigezo unavyotumia. Katika 'team work' ambayo ndio cdm wanatumia kila mtu anacheza kwenye nafasi yake ukiachilia mbali wasaliti wachache.

Kuna baadhi ya wana-jf ambao wana mchango wa kipekee kwa jinsi wanavyowachachafya wazee wa lumumba.....

Mwisho wa siku wanaotakiwa kutambuliwa kipekee ni wale wanaokubali kubadilika kifikra; change of mind set is never an easy thing!

swadakta !
 
  • Thanks
Reactions: MC
Pigo lolote , narudia tena ! Pigo lolote kuelekea CCM HALIWEZI KUWA BAYA ! Hilo ni pigo Zuri sana !
 
Back
Top Bottom