Habari za uzushi, Lugata CHADEMA haina mgombea makini, mmemweka jitu lisilo na sifa
Na huyo alokuwa diwani Tizeba anagombea kupitia chama gani?
lugata ndo iko wapi?
hongereni m4c mbele kwa mbele
Huyu mawazo kwa nini haendi kushiriki vikao vya madiwani arusha?
Chama
cha mapinduzi kimdpoteza wenyeviti wanane na kujiunga na chadema
leo,hayo yametokea baada ya Kamanda Mawazo kutoa hotuba yenye ushawishi
mkubwa kwenye kampeni za udiwani.Wa kwanza ni Ntimanywa wa Lugata center
lugata ndo iko wapi?
hongereni m4c mbele kwa mbele
...Kamanda Mawazo; wee acha tu !!!!!!!!!!!!
CHADEMA Makao Makuu, chonde kati ya vijana wetu kibao ndani ya chama na juhudi zao zisizoelezeka kule mashinani kote nchini, napenda kuleta kwenu ombi langu kwenu kuwatambua kwa namna ya kipekee hawa wenzetu akiwemo Kamanda Mawazo, Ally Bananga, Ben Saanane, John Heche, Ole Milya, Ephata Nanyaro, Mwita Maranya, Sugu, na Mchungaji Msigwa.
Hakika hawa vijana wetu, kati ya wengine wengi sana tu, ni moto wa kuotea mbali mnoooo!!!!!!!!!!!!!
Kwani ilikuwaje hata kikatokea kilio kikubwa hivyo? Da! Jamani. Mwe!
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Tizeba mkubwa aliyetoka ccm ndo anagombea kwa Cdm