spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
GrEatThinkers,
Nikiwa ndani ya Meli kuelekea Ukerewe, mjadala mkali ulikuwa ni katiba mpya, meli ilikuwa vikundi vikundi.
Kali zaidi kuna mmoja akaibuka na na kusema "maadui aliowatangaza Hayati Mwl. Nyerere wakti wa Uhuru
Ujinga, Umaskini na Maradhi mkubali msikubali kwa sasa kuna adui mwingine wa maendeleo ambaye ni CCM"
Mwingine akaibuka na kusema "Hata ndg.Zangu wakija kuomba misaada hasa ya ada, na ikiwa huyo ndg, ni wa CCM namwambia nenda kwa hao hao CCM uliowachagua sasaivi usingekuwa unalipa ada"
Mwingine Tena akathubutu kuanza kutaja baadhi meli zinazomilikiwa na vigogo wakubwa ndani ya Chama, akataja mabasi nakumbuka Mombasa Raha na Sumry na kusema wazi kuwa CCM yote imeoza.Wakamtaja na yule mama mchungaji aliyejinganya na CCM kuwa amechukuliwa ili kurahisisha kuingiza mali za vigogo kwa mgongo wa kanisa lake.
Hayo ni maneno makini yenye ujumbe mkali yaliyotoka kwa watanzania wa kawaida wa Ukerewe. Nimewaletea Changamoto hii, ili muone kwamba hii nchi watu wamebadilika sana.
WanaJF Tuendelee 2011 ni Full Uamsho.:ranger:
Nikiwa ndani ya Meli kuelekea Ukerewe, mjadala mkali ulikuwa ni katiba mpya, meli ilikuwa vikundi vikundi.
Kali zaidi kuna mmoja akaibuka na na kusema "maadui aliowatangaza Hayati Mwl. Nyerere wakti wa Uhuru
Ujinga, Umaskini na Maradhi mkubali msikubali kwa sasa kuna adui mwingine wa maendeleo ambaye ni CCM"
Mwingine akaibuka na kusema "Hata ndg.Zangu wakija kuomba misaada hasa ya ada, na ikiwa huyo ndg, ni wa CCM namwambia nenda kwa hao hao CCM uliowachagua sasaivi usingekuwa unalipa ada"
Mwingine Tena akathubutu kuanza kutaja baadhi meli zinazomilikiwa na vigogo wakubwa ndani ya Chama, akataja mabasi nakumbuka Mombasa Raha na Sumry na kusema wazi kuwa CCM yote imeoza.Wakamtaja na yule mama mchungaji aliyejinganya na CCM kuwa amechukuliwa ili kurahisisha kuingiza mali za vigogo kwa mgongo wa kanisa lake.
Hayo ni maneno makini yenye ujumbe mkali yaliyotoka kwa watanzania wa kawaida wa Ukerewe. Nimewaletea Changamoto hii, ili muone kwamba hii nchi watu wamebadilika sana.
WanaJF Tuendelee 2011 ni Full Uamsho.:ranger: