Ccm yanga vs chadema simba

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Feb 18, 2012
15,893
16,317
Mambo vipi wakuu. Pole sana na majukumu yenu ya kila siku. Naombeni ufafanuzi juu ya hili kama kuna uhusiano wowote baina ya rangi za kijani na njano kama uhusiano wa Klabu ya Yanga na chama cha mapinduzi CCM pamoja na rangi nyekundu na nyeupe kama uhusiano kati ya Klabu ya Simba na chama cha CHADEMA. Kama hujui, please pita kando Naomba kuwasilisha mada!
 
Haijawahi dhibitika mahusiano hayo, ingawa viongozi wakuu wanachama wa CCM wapo Simba na Yanga tangu kitambo. Mfano Nyerere alikuwa mwanachama wa awali sana wa Yanga wakati Karume alikuwa Simba. Kutokana na rangi za Yanga na kuwepo kwa chama kimoja kipindi kile, Yanga ilikuwa ikishinda watu/wapenzi walishangilia wakiimba CCM CCM CCM. Ila ilikuwa haimilikiwi na CCM. Kuna wengine watakuelezea kuhusu team ya Brazil na Manchester. Subiri majibu ya rejareja ya wkend.
 
Haijawahi dhibitika mahusiano hayo, ingawa viongozi wakuu wanachama wa CCM wapo Simba na Yanga tangu kitambo. Mfano Nyerere alikuwa mwanachama wa awali sana wa Yanga wakati Karume alikuwa Simba. Kutokana na rangi za Yanga na kuwepo kwa chama kimoja kipindi kile, Yanga ilikuwa ikishinda watu/wapenzi walishangilia wakiimba CCM CCM CCM. Ila ilikuwa haimilikiwi na CCM. Kuna wengine watakuelezea kuhusu team ya Brazil na Manchester. Subiri majibu ya rejareja ya wkend.

Lyimo, nimekuelewa. Asante kwa hoja yako!
 
Muhamed dewji, ismail aden rage, julio waulize wanayo majibu make hao ni viongozi wa ccm nahisi pale simba ni mamkuki tu
 
Hilo halina ubishi kabisa kuwa YANGA aka KANDAMBILI aka YEBOYEBO ni CCM pure
 
John Mnyika alikuwa shabiki wa Yanga lakini siku Yanga ilipoifunga Sima kisha watu kushangilia CCM CCM CCM CCM ikamtumbukia nyongo na kamua kuwa shabiki wa Simba.
 
Hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya hizo timu na hivyo vyama. Lakini wapaswa kujua kuwa enzi zile za ukoloni harakati za siasa zilikuwa zinafanya kwa kificho na mojawapo ya sehemu zilizotumika ni klabu za michezo. Kutokana na asili na historia ya Yanga waasisi wa TANU waliitumia kuendesha harakati za kudai uhuru. Hivyo naturally, ilitokea waasisi wengi wa TANU na baadae CCM walikuwa na ushabiki na Yanga kwa sababu ya hiyo historical connection. Yafaa ujue pia kuwa Yanga ilikuwa timu ya wazalendo weusi na simba ilikuwa timu ya wageni.

Lakini with time, kumetokea kitu kama vile 'intermarriages' ambapo waafrika weusi waliingia simba na wageni pia waliishadadia yanga. Na ndio mix unayoona leo. Kibwagizo cha CCM ni cha zamani zile ambapo chama kimeshika hatamu na kila mtu alikuwa assumed kuwa CCM maana ndio chama pekeee. However, Yanga hawatumii tena hicho kibwagizo siku hizi bali ni simba ili kuwakejeli yanga kama ilivyo kwa yanga wanavyoimba simba, simba, simba au eeeh kidedea kuwakejeli simba pale yanga inaposhinda. Juzi kama ulikuwepo uwanjani utaweza ku-prove hili.
 
Haijawahi dhibitika mahusiano hayo, ingawa viongozi wakuu wanachama wa CCM wapo Simba na Yanga tangu kitambo. Mfano Nyerere alikuwa mwanachama wa awali sana wa Yanga wakati Karume alikuwa Simba. Kutokana na rangi za Yanga na kuwepo kwa chama kimoja kipindi kile, Yanga ilikuwa ikishinda watu/wapenzi walishangilia wakiimba CCM CCM CCM. Ila ilikuwa haimilikiwi na CCM. Kuna wengine watakuelezea kuhusu team ya Brazil na Manchester. Subiri majibu ya rejareja ya wkend.
Aisee Lyimo naona umeanza weekend...Karume naye alikuwa Yanga. Hadi leo Mkewe nadhani ni mmoja wa wadhamini kama sio walezi...kwa kifupi Yanga ilitumika katika harakati za ukombozi wa Tanganyika wakati simba ikiwa ya waarabu zaidi na watu wa aina hiyo...Yanga ilikuwa ya walalahoi na wazalendo wa kweli wenye uchngu na taifa lao kwahiyo kufanana kwa rangi na CHAMA CHA MAJAMBAZI hakuwezi kuwa justification ya kuwa Yanga ni CCM.
 
Last edited by a moderator:
Mi kitu yanga tu inanikera sana
kitendo cha kusikia neno yanga aaaa nakereka
ila ukiangalia kiundani utaona uccm kwenye yanga
 
Hakuna uhusiano wa
moja kwa moja kati ya hizo timu na hivyo vyama. Lakini wapaswa kujua
kuwa enzi zile za ukoloni harakati za siasa zilikuwa zinafanya kwa
kificho na mojawapo ya sehemu zilizotumika ni klabu za michezo. Kutokana
na asili na historia ya Yanga waasisi wa TANU waliitumia kuendesha
harakati za kudai uhuru. Hivyo naturally, ilitokea waasisi wengi wa TANU
na baadae CCM walikuwa na ushabiki na Yanga kwa sababu ya hiyo
historical connection. Yafaa ujue pia kuwa Yanga ilikuwa timu ya
wazalendo weusi na simba ilikuwa timu ya wageni.

Lakini with time, kumetokea kitu kama vile 'intermarriages' ambapo
waafrika weusi waliingia simba na wageni pia waliishadadia yanga. Na
ndio mix unayoona leo. Kibwagizo cha CCM ni cha zamani zile ambapo chama
kimeshika hatamu na kila mtu alikuwa assumed kuwa CCM maana ndio chama
pekeee. However, Yanga hawatumii tena hicho kibwagizo siku hizi bali ni
simba ili kuwakejeli yanga kama ilivyo kwa yanga wanavyoimba simba,
simba, simba au eeeh kidedea kuwakejeli simba pale yanga inaposhinda.
Juzi kama ulikuwepo uwanjani utaweza ku-prove hili.

Hapo umenena mkuu na huo ndo ukweli wenyewe,labda kuwajuza zaidi Simba ilikuwa ikiitwa sunderland.
 
Back
Top Bottom