Ccm safari ya kufa Imewadia wanapita. Kutoa buriani nchi nzima
Hivi hamushangai wananchi kila mahala wanalalamika dhidi ya viongozi wao kwa kutowatendea haki? Viongozi hao si wa upinzani ni hao hao wenzake kinana.Hii inaashiria kufeli kwa system nzima ya CCM.UFISADI UNAWAUMBUA
Kazi yao wizi na uongo
Wananchi washawastukia.
Eti Kinana anawakemea mawaziri,umeona wapi wewe mtendaji mkuu wa chama kuosimamia serikali na kutowa amri.
"SO LONG CCM"
Pamoja na kumsifia angalia vizuri utaifa wake, anaweza kuhamia popote baada ya kutimiza lengo lake na kuiacha tz kama toilet paper.Kinana anawatoa makamasi,..mtaisoma,namba mwaka huuu
Kinana kanyaga twende Comrade
we mwiba ambao hauchom!!mbona gogo kichwani mwako nyingi au babu wenu kawapa,kazee wa gogo ka slaa.
Ccm itaongoza nchi hii hadi ichoke yenyewe.kwa hila,rushwa,vtisho,vote riging,ujambazi,njaa ya watnzania wengi,dhuruma,ujanjaujanja,mazingaombwe,mizengwe na kila aina ya ushetani.
Dua la kuku!Hayawi hayawi yamekuwa habari za ndani kabisa zunadai CCM imeshameguka na kuna mivutano inayotokana na makundi na mitandao inayoelekea kutaka kuweka mtu wao kugombea Uraisi ,Kumbe ile mbinu ya Kinana na Nape kuzunguka nchi ni moja ya mbinu na mikakati ya kujijenga mmoja kati yao ni mgombea mtarajiwa ,tayari wameshasitukiwa na ziara zao zimeanza kupigwa mikwala na kutiliwa shaka kwa sababu za kufanya ubadhirifu wa hela za chama na pia kutumia baadhi ya mambo na vifaa vya serikali ikiwemo magari.
Na waliondani wamesema sasa hivi hali ni mbaya kifedha ,pia kumekuwa na kudharauliana na kubaguana ,pia kuna baadhi ya vigogo huenda wakatimkia vyama vingine vya siasa ,wakikiacha CCM kikiwa kwenye mtafaruku.
Hayawi hayawi yamekuwa habari za ndani kabisa zunadai CCM imeshameguka na kuna mivutano inayotokana na makundi na mitandao inayoelekea kutaka kuweka mtu wao kugombea Uraisi ,Kumbe ile mbinu ya Kinana na Nape kuzunguka nchi ni moja ya mbinu na mikakati ya kujijenga mmoja kati yao ni mgombea mtarajiwa ,tayari wameshasitukiwa na ziara zao zimeanza kupigwa mikwala na kutiliwa shaka kwa sababu za kufanya ubadhirifu wa hela za chama na pia kutumia baadhi ya mambo na vifaa vya serikali ikiwemo magari.
Na waliondani wamesema sasa hivi hali ni mbaya kifedha ,pia kumekuwa na kudharauliana na kubaguana ,pia kuna baadhi ya vigogo huenda wakatimkia vyama vingine vya siasa ,wakikiacha CCM kikiwa kwenye mtafaruku.
Kinana anawatoa makamasi,..mtaisoma,namba mwaka huuu
Kinana kanyaga twende Comrade
ccm itaongoza nchi hii hadi ichoke yenyewe.
...mbende mbende tayari...Huu muda mnaopoteza kuishambulia CCM.
Imarisheni UKAWA, waambieni na wananchi kwanini wawaamini, na waulizeni kwanini wanawaona ni matapeli. CCM sio saizi yenu.
Acha kife kabisa, CCM ni pepo mfilisi wa nchi yetu. Naona mungu anataka kutuondolea hili pepo.
Mwaka 2015 tunaanua matanga ya CCM.