DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,131
Chama Cha Mapinduzi CCM Jimbo la Musoma Mjini kimelaani tukio la watu wanaotajwa kikundi cha vijana waliochana na kutoboatoboa mabango ya mgombea wao wa urais Dkt.Samia Suluhu Hassan ambayo yamebandikwa maeneo mbalimbali ya Mji wa Musoma na kudai kitendo hicho hakikubaliki.
Hayo yamejiri ikiwa ni mwendelezo wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29 zinazoendelea hapa mjini Musoma na maandalizi ya mapokezi ya mgombea huyo wa urais anayetarajiwa kuwasili mkoani humo wiki ijayo.
Hayo yamejiri ikiwa ni mwendelezo wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29 zinazoendelea hapa mjini Musoma na maandalizi ya mapokezi ya mgombea huyo wa urais anayetarajiwa kuwasili mkoani humo wiki ijayo.