GwaB
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 3,678
- 4,822
ahaa, Vipi kuhusu pesa walizotumia kwa kuendelea na mchakato ambao hata watoto wa chekechea walijua akidi haitatatimia,watazirudisha? na hakuna namna yoyote ile ya kuwatafuta wanasheria kufungua kesi ya ufujaji wa mali ya umma? na je kabla ya kuanza tena BMK hawakuliona hilo au walifanya makusudi wakijua hakuna mtu wa kuwauliza, kwa maana wao ndio watawala?.Akiongea kwa njia ya simu kutoka dodoma, katibu wa itikadi na uenezi wa CCM, Ndg. Nape Nnauye amesema CC imeridhishwa na hoja za kukosekana kwa akidi ya 2/3 hivyo kwa kuzingatia maslahi mapana ta taifa wameona ni busara kuachana na vikao vya Bmk kuanzia kesho Alhamis tar 21 aug 2014.
Source: Radio Uhuru mchana huu.