CCM yakataa ombi la Lowassa kurejea chamani

CCM yakataa ombi la Lowassa kurejea chamani

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,704
Reaction score
7,409
Habari kutoka kwa Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM Humphrey Polepole, ni kuwa wamekataa ombi la mzee wa Monduli kurejea CCM.

Source: Gazeti Uhuru. Ukurasa wa mbele leo.

Uhuru.jpg
 
Habari kutoka kwa Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM Humphrey Polepole, ni kuwa wamekataa ombi la mzee wa Monduli kurejea CCM.

Source: Gazeti Uhuru. Ukurasa wa mbele leo.

Hizi taaarifa ziko tofauti

JPM alimuomba lowassa arudi ili awaachia mwanaye na wenzake akiwamo kamishna wa zamani wa TRA ambaye alikua mmoja wa washauri wa Timu ya wataalamu ya kampeni za Lowassa

Lowassa alimkatalia Pamoja na kuwa taarifa alimueeleza kwa kigezo cha umri hana Mpango wa Kukaaa muda mrefu Sana kwenye active politics hivyo aache kumghasi

Mzee Alí Hassan Mwinyi alimuomba Kingunge kama mzeee mwenzake na sio kwa kutumwa na JPM arudi ccm , naye alimkatalia kwa kigezo kuwa aliyepo kaivuruga misingi ya ccm kuliko hata iliyokuwako wakati wanaondoka

Kuna Wazee hasa Kinana haridhiki kabisa na hata kampeni za juzi hakupanda popote haridhiki na utaratibu
Mangula haridhiki lakini Kamua tu kusaidia mikakati mwenawke hata kazini Nadra kutokea
 
Chadema never trust Lowassa yupo kwenye special mission hapo Chadema hii ya CCM kumkataa ni movie
 
Aliemwambia Rais akatubu amekiri kaomba Radhi kwa Rais japo kasikitika TRA kufichua hilo
Amuombe radhi kwa kosa gani sasa? Kwani kuna wakati alikosea? Kumwambia muamini akatubu ni kosa? Mbona kila siku anapiga magoti mazabahun? Pale huwa anafanya nn au anakuwa kwa angela kairuki madale.we jamaa wa hovyo sana. Yawezekana upo kama shaka.s.shaka aliyeolewa na uvccm mwenziwe huko tanga anaitwa salum mpelembwe
 
Back
Top Bottom