emmanuel1976
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 301
- 80
CCM kwa hakika itajutia makosa yake ya kumuengua Edward Lowassa katika kinyang'anyiro cha urais kwa nguvu, hii ni sawa na kujifunga wenyewe kwa bao la mkono. Ikiwa UKAWA watatulia vizuri na kwa ufundi, huu waweza kuwa mwisho wa CCM.
UKAWA umeanza kuvuna wanachama na viongozi wa chama cha mapinduzi kila kona nchini. Tufani yenyewe ndo kwanza inataka kuanza. UKAWA mkishindwa kutumia fursa hii basi utakuwa ni mwisho wa siasa za upinzani nchini.
UKAWA umeanza kuvuna wanachama na viongozi wa chama cha mapinduzi kila kona nchini. Tufani yenyewe ndo kwanza inataka kuanza. UKAWA mkishindwa kutumia fursa hii basi utakuwa ni mwisho wa siasa za upinzani nchini.